Katamka jambo gani?
Mod;Kwa waliokuwa wanatizama taarifa ya habari ya saa mbili usiku leo TBC1 bila shaka mmeyaona.
Ndugu yangu Richard Ndassa alikikoroga, na mie sijapata kitu kabisa.
Kanuni na sheria zasemaje kuhusu hilo.
Wanasheria mtujuze