Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wakuu nimeambiwa kampuni ya Tanzanite one imesha kufa rasmi na imekuja Rich Land amabyo kuna mtoto wa mkuu mkoja ana hisa 40 humo sasa nauliza inakuwaje wanajigeuza tena badala waendelee baada ya kuachiwa miaka 5 ? Naomba kujua hivi nani ni Rich Land ?Wewe wamjua ?