n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Naam wakuu,
Kesho baada ya maswali na majibu kama mlivyofahamishwa kwenye thread nyingine; PAC watasoma ripoti yao.
Spika ameshauriwa vema na sasa umma utapata kujua mbivu na mbichi.
Yawezekana wengine mkakatiwa umeme, yawezekana vituo vingine visirushe lakini tutajuzana hapahapa JF. Wale wenye simu zinazopata mtandao ziwekeni chaji ya kutosha.
Hii ni brief tu, haionyeshi majina wala details zaidi (tunaliachia Bunge lifanye kazi yake)
Kesho baada ya maswali na majibu kama mlivyofahamishwa kwenye thread nyingine; PAC watasoma ripoti yao.
Spika ameshauriwa vema na sasa umma utapata kujua mbivu na mbichi.
Yawezekana wengine mkakatiwa umeme, yawezekana vituo vingine visirushe lakini tutajuzana hapahapa JF. Wale wenye simu zinazopata mtandao ziwekeni chaji ya kutosha.
Hii ni brief tu, haionyeshi majina wala details zaidi (tunaliachia Bunge lifanye kazi yake)