Mr Dash, mimi nakusupport 100%, hii nchi inatia aibu. Kwakweli kwa viongozi wa dini kutumia mwanya walionao katika jamii kwa kuua jamii, ni aibu nyingine kubwa. Mimi siku zote huwa nashangaa utajiri wa baadhi ya hao viongozi wa madhehebu yanayoibuka kila siku. Kuna muhubiri mmoja Tanzania alishawahi kusema kupitia katika TV moja wakati wa sikukuu ya Christmas kuwa masikini hana nafasi mbinguni. Na huyu ni kiongozi ambaye ana mali nyingi na hata anamkono katika serikali yetu. Mtu kama huyo kweli anaupako wa Mungu!!! Mambo yanayoendelea Tanzania ni aibu sana. Waogope wahubiri wa Nigeria ambao wengi wao ni matajiri sana.A country cannot operate on allegations and hearsay, a senior police officer with evidence of how a crime is committed without taking proper action is ignorant, incompetent and not worthy of a public trust. A person with a half brain if given Nzowa's job would have at least announced the day, time, place and names of the arrested citizens/bishops and the circumstances of their arrest. Jamani bongo imeoza inatia aibu aibu aibu, nyie wenzetu mlioko huko nje tafadhali acheni kujitambulisha kama watanzania, aibu aibu aibu aibuuuu!