Revealed: Dr. Kigwangalla kanakili hotuba nzima ya Obama ya mwaka 2004 aliyoitoa Boston

Watu wanautafuta Uraisi kuanzia mbali sana!

12210_10151534580468243_1030950183_n.jpg

Kama na mie ningekuwa Rais kitu cha kwanza ambacho ningefanya ni kupiga marufuku usafiri wa bodaboda.
 
Ama kweli vichwa vingine sijui vipi. Ndiyo hao viongozi wanavyodhani kuwa Watanzania ni wa kudanganya tu. Hawajui kuwa wako Watanzania wenye uwezo wa kufikiri na hata kutafiti mambo ambao siyo viongozi. Kwa wao kuwa viongozi wanadhani Watanzania wengine wote ni mabwege tu. Ndo maana tukipiga kelele hawasikilizi wanadhani ni wavuta bangi tu wanapiga kelele. Dr. umedhalilisha hadhi yako ya uDr.
 
Ukiwa mwizi siyo rahisi kuacha wizi.

Alipomaliza darasa la saba, Hamis Bagalile (ambaye sasa anajulikana kama Kigwangala) aliiba nafasi ya mwanafunzi aliyejulikana Kigwangala, akaenda kuanza masomo ya sekondari.

Alipomaliza form six, Kigwangala alipoajiriwa kama store keeper wa Moolman Brothers Company pale Nzega aliiba baruti akasweka ndani. Baadaye kampuni ikaamua kumfukuza kazi na kuacha kuendelea na kesi.

Alipoupata ubunge akaingiza vitu mbalimbali toka nje akidai kuwa ni vifaa vya kujengea na kuanzishia chuo cha nursing, akapata msamaha wa kodi. Vifaa vyote akapeleka dukani kuviuza. Mpaka leo hii hicho alichosema ni chuo cha nursing, hakijawahi kutoa mafunzo yoyote, hata ya cleaner.

Leo hotuba ya kuutaka urais ameiba hotuba ya Obama! Naona anaendelea na hulka yake, kuishi bila wizi ameshindwa. Tegemeeni wizi zaidi toka kwa mbunge Kigwangala, hawezi kuacha asili yake.
 
Hii yote ni 7bu ya JK, alikuwa anakwea pipa kila kukicha matokeo yake kila mtu keshaona kutawala watanzania ni rahisi zaidi kuliko kuchunga ng'ombe! Na bado watajitokeza wengi kama akina Lukos na Le Mutus.
 
katika kupitia pitia mitandao kuna story nimeikuta wafukunyuku wa mambo wamebaini speech aliyoitoa Dr.Kigwangala ya kutangaza nia kutaka kugombea Urais kumbe ameicopy Speech nzuri iliyowahi kutolewa na Rais Barrack Obama aliyoitoa huko Boston Marekani 27 July 2004.
Yenye title "OUT OF MANY ONE"". Kwenye mkutano wa NATIONAL DEMOCRATIC CONVENTION .alichokifanya Dr.Kigwangala ni kuibadilisha Speech hiyo kua ya Kiswahili..
hili mnalionaje wenye akili timamu.
Ni kawaida yake. Last year, aliiba sehemu ya kitabu cha msomi, Acemeglu na kuandika makala kwenye gazeti moja... Kuhusu maendeleo, watu kadhaa walimsifia... Lakini, ilikuwa copy-work piracy ya Hali ya juu... Neno kwa neno... Kutoka Kiswahili kwa kiingereza!!!! Ati anataka awe Rais wa Tanganyika!!!!!!
 
Ni kawaida yake. Last year, aliiba sehemu ya kitabu cha msomi, Acemeglu na kuandika makala kwenye gazeti moja... Kuhusu maendeleo, watu kadhaa walimsifia... Lakini, ilikuwa copy-work piracy ya Hali ya juu... Neno kwa neno... Kutoka Kiswahili kwa kiingereza!!!! Ati anataka awe Rais wa Tanganyika!!!!!!
Kwa nini watu mnahangaika sana na huyu mtu...si mumdharau tu muachane naye?
 
Labda tumuite HKigwangalla humu aje aseme ilikuwaje akashindwa kutengeneza hotuba yake binafsi!
kama anacopy mpaka hotuba hatufai atakuwa raisi wa kucopy kila kitu kutoka nje ukweli kabisa ccm hakuna mwenye sifa ya kutegemewa kuja kuwa raisi 2015 wote ni mafisadi wakubwa
 
kama anacopy mpaka hotuba hatufai atakuwa raisi wa kucopy kila kitu kutoka nje ukweli kabisa ccm hakuna mwenye sifa ya kutegemewa kuja kuwa raisi 2015 wote ni mafisadi wakubwa
Nadhani kuna watu wanamuogopa mpaka wanaamua kumshambulia kila kona. kwa sababu nimeisoma hotuba yake na ya Obama na kubaini kuwa alichonukuu ni maneno e pluribus unum na hayo hata Obama naye hayakuwa yake, yapo kwenye nembo na mihuri ya serikali ya marekani...maana ningeshangaa sana atumie hotuba iliyoandikwa na mmarekani kwenye mazingira ya kutangaza nia Tanzania halafu ifanye kazi
 
kama anacopy mpaka hotuba hatufai atakuwa raisi wa kucopy kila kitu kutoka nje ukweli kabisa ccm hakuna mwenye sifa ya kutegemewa kuja kuwa raisi 2015 wote ni mafisadi wakubwa
Hivi kwani kila siku anavyohutubia huwa ana-copy kwa nani? Maana huwa anahutubia na kukubalika sana Bungeni. zaidi ya mara 3 hivi nimeshuhudia akipata 'standing ovation' ama mara zote hizo huwa anamuiga Obama? Huyu kijana ana convincing powers za kutisha, ana elimu, ujuzi na uzoefu wa kuzungumza na kushawishi kwa kuwa amekuwa kiongozi kila alipopita na mara nyingi amekuwa ni mwenye ushawishi wa hali ya juu hata kuanzisha migomo mizito. mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. HK ni miongoni mwa wanasiasa mahiri, makini na mwenye kipaji na binafsi yangu ninaamini ni miongoni mwa ambao watafika mbali sana humu nchini na nje ya nchi. mimi ninamhusudu kwa uvumilivu wake, uchapakazi na zaidi kwa misimamo yake isiyotetereka kwenye mambo anayoamini na asiye na unafiki hata chembe
 
poor kigwangala. heri tu kwa mama kikwete ukalelewe. nimembuka siku moja ulipoongea kwenye bmk ujinga na upumbavu wa kila aina ukiponda takwimu zilizokusanywa na tume ya jaji warioba ili kuhalalisha uchakachuaji wa rasimu ya pili ya katiba. of course ulishangiliwa na kina ole sendeka na asha bakari. mwaka kesho jimbo la nzega hulipati ng'o.
 
Nadhan licha ya kujitahid kutoa maelezo ya kujitetea humu lakini Ujumbe umefika kwake na moyoni anajua kua alichokifanya kimebumbuluka kwa watu so akibisha anabishia ubishi tuu kama kujidefend tuu ila anajua kabisa aliifanyia Plagiarism akidhan kwakua speech ya Obama ni ya miaka 10 imepita sio rahis watu kudetect kama ameicopy huko...but watanzania wa leo sio wale miaka ya 80...sasa hivi ni kizazi cha Digitali...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom