Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Jaji Mstaafu Dan Mapigano amefariki Dunia tarehe 15 januari 2011 katika hospitali ya Aga Khan ambako alikuwa amelazwa baada ya kupata stroke.
Maziko yanategemewa kuwa tarehe 19 Januari makaburi ya Kinondoni. Maziko hayo yatatanguliwa na shughuli za mazishi katika uwanja wa Mnazi mmoja.
Maziko yanategemewa kuwa tarehe 19 Januari makaburi ya Kinondoni. Maziko hayo yatatanguliwa na shughuli za mazishi katika uwanja wa Mnazi mmoja.