ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Mr. NICE ALIWIKA sana lakini anaonekana ni Mzee wa maneno ya kujisifia sana, kumekuwa na takwimu zisizo eleweka za mauzo ya kazi za wasanii hapo zamani. Huku Mr. Nice akitamba kwamba yeye aliuza nakala milioni 1.7 na aliemfuatia alikuwa around laki 380,000/= wakati huo huo tunaambiwa na Feruzi aliuza copy laki mbili ndani ya wiki moja.
Lakini kitakwimu tuaambiwa albamu za profesa jay na **** nature ndio ziliuza sana sokoni.
Wakati huo huo, mangwea na album yake ya a k.a Mimi aliuza copy laki 7.
Sasa watu wa takwimu na wasambazaji wako wapi watuondoleee sintofahamu hii? Japokuwa kulikuwa na uwizi mkubwa sana uliofanywa na wasambazaji ak.a wadosi lakini majibu ya kweli wanayo wao
Lakini kitakwimu tuaambiwa albamu za profesa jay na **** nature ndio ziliuza sana sokoni.
Wakati huo huo, mangwea na album yake ya a k.a Mimi aliuza copy laki 7.
Sasa watu wa takwimu na wasambazaji wako wapi watuondoleee sintofahamu hii? Japokuwa kulikuwa na uwizi mkubwa sana uliofanywa na wasambazaji ak.a wadosi lakini majibu ya kweli wanayo wao