Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
- Thread starter
- #41
Yuko hapa anacheka sana.....Kwani yana matatizo gani?
Mme wangu yuko fiti huwa hasumbuliwi na maradhi madogo madogo km hayo bana!
Alafu ww mbona leo unajishuhulisha sana na familia yetu?
Amy yuko wapi?
Halafu leo kaamu kuja ofcn kwangu kukaa nami muda wote kwa kuwa anafuraha....
@Amyner: Canta niko poa kabisa niko na sweetheart wangu Erickb52 tunafurahia ushindi......mpe hi Rejao