Mh.Mtema alikua mlemavu na gari ilikua ya kawaida sio maalumu kwa walemavu.Kifo cha Huyu dada kimenishtua na kunisikitisha sana,she was so lovely.Mwenyezi Mungu awe pamoja nasi katika msiba huu,poleni ndugu , na marafiki.Wakuu poleni kwa msiba nina swali kwa wanaomfahamu Dada Regia magazeti ya leo yametoa picha ya Kamanda Regia ana mguu mmoja tena anatembea kwa msaada wa fimbo hii picha ilipigwa baada ya ajali alikuwa na mguu mmoja kabla ya ajali ?.Kama alikuwa na mguu mmoja aliwezaje kuendesha gari au gari lake ni maalumu.