Mtu wa Asali
Senior Member
- May 9, 2022
- 152
- 291
Nafasi aliyopewa Suzan Kaganda ni nafasi ya juu sana ndani ya jeshi la polisi. Ni muadilifu na mwenye misimamo. Anakwenda kusimamia nidhamu, utawala na uendeshaji wa Jeshi la Polisi.
Tutegemee kupata Makamanda wa mikoa wazuri wenye ueledi majina yote ya Ma’RPC yatapitia kwake kabla ya IGP hajatangaza.
Mh Rais yuko kwenye kipindi cha kulisuka upya jeshi la polisi. Hii ni ishara njema kuelekea mabadiliko hayo.
Tutegemee kupata Makamanda wa mikoa wazuri wenye ueledi majina yote ya Ma’RPC yatapitia kwake kabla ya IGP hajatangaza.
Mh Rais yuko kwenye kipindi cha kulisuka upya jeshi la polisi. Hii ni ishara njema kuelekea mabadiliko hayo.