Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Jamani ninashauku ya kujua katika kipindi cha magazetini asubuhi Redio One, kwa mfano kama kila inapofika siku ya Jumatano watatusomea vichwa vya habari karibuni yote kasoro magazeti ya Udaku, lakini shauku yangu ni kua mbona huwa gazeti la Mwanahalisi huwa hawana habari nalo lakini Raia Mwema wanalo! Kulikoni kuna sababu zozote la kutokulishirikisha gazeti hili la Mawanahalisi? Nawasilisha.