aminangalo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 974
- 189
Leo wagombea wa vyama vitatu ccm chadema na cuf walirudisha form za kugombea udiwani kata ya Sombetini Arusha
Jambo lililoshangaza na kusikitisha nipale pikapu ya chadema ilipofunga njia ili maaandamano ya ccm yasipite jambo hilo lilikasirisha greeng gard walishuka nakuanza kuzozana nawenzao wa chadema
Baada ya muda gari iliyo funga bara bara ilivunjwa kiooo na watu kupigwa na baadae waliondoka kwa pamoja
Nawashauri tuuu leo kwa amani na upendo ccm na chadema uchaguzi wakata usiharibu maisha yetu na mali zetu tuuzesera zetu kwa amani tutaeleweka tuuu jamani
Jambo lililoshangaza na kusikitisha nipale pikapu ya chadema ilipofunga njia ili maaandamano ya ccm yasipite jambo hilo lilikasirisha greeng gard walishuka nakuanza kuzozana nawenzao wa chadema
Baada ya muda gari iliyo funga bara bara ilivunjwa kiooo na watu kupigwa na baadae waliondoka kwa pamoja
Nawashauri tuuu leo kwa amani na upendo ccm na chadema uchaguzi wakata usiharibu maisha yetu na mali zetu tuuzesera zetu kwa amani tutaeleweka tuuu jamani