Mh Mwigulu. Nimekukubali wewe ni mzushi wa historia. Unakariri kuwa shilingi ya Tanzania ni sawa na ya Kenya, kwamba Dollar ya USA ni sawa na ile ya Zimbabwe. Kikundi siyo jina lake, bali ni matendo yake. Hivi nikikwambia kuwa kuliwahi kuwa na kichaa anaitwa Mwigulu utasema ndo maana uliitwa jina lake? Ok tuache porojo sana, hebu nipe michapo na historia kuhusu GREEN GUARD.