hawa maagent nawasikia sana ila sina idea nao sana hebu nifafanulieni kidogo maana nasikia wanaweza kukusaidia kupata kazi ila utawalipa je nikweli habari hizo nijuzeni jamani
HII KITU PIA ILISHAWAHI KUJADILIWA HUMU. PLS FUATA LINK HII https://www.jamiiforums.com/nafasi-...81-list-ya-recruitment-agencies-tanzania.html
mdau mbona kama umekurupuka? hiyo link inaongelea vitu vingine, hebu soma mada vizuri
mdau mbona kama umekurupuka? hiyo link inaongelea vitu vingine, hebu soma mada vizuri
mkuu jibu la kwanza wala sina mashaka nalo, ila pale ulipotoa jibu lingine na kusema hii mada imeshadadavuliwa humu jamvini kitu ambacho si kweli!Huyu bwana ameulizia Recruitment Agent/s. Nikamwambia kuna Erolink. Lkn pia nikaweka hyo link coz watu washawahi kuzungumzia hzo mambo. So kupitia posts za wadau anaweza kupata mwanga zaidi...sasa nani kapuruka.
Ahsantum.