Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,261
- 10,260
kama umeweza kuuliza swali kama hilo maana ake huwa hutazami mechi za Real madrid na bado ujajua vizuri Mbappe anacheza nafasi zipi uwanjani kiufupi wote wawili watacheza na Vin ndio atakua mpishi mzuri wa MbappeSidhani kama Mbape anaweza kuja kumweka benchi Vin
kwahiyo mpaka sasa ballon dor tumpe nani?
Kweli refa alipiga filimbi, filimbi ya mbelekoWaambieni kwamba hawapaswi kuamini kuwa wameshinda mpaka wahakikishe refa amepiga filimbi na wachezaji wote wa Real Madrid pamoja na mashabiki wawe wametoka uwanjani.
HalaMadrid!
Ni utovu wa nidhamu kabisa.Yaani mpaka ulale na uamke uone jua siku ya pili, la sivyo inawekana unaota tu lakini mpira haujaisha.
Mmeingia kupitia kwa kibendera 😊Bado siamini tumeingiaje final
Fanya ulale tu.Kweli refa alipiga filimbi, filimbi ya mbeleko
Achana na mizumbukuku iliyohemukwa na mahaba niue hadi haielewi kuwa Real Madrid kapita kwa mbeleko.Kweli refa alipiga filimbi, filimbi ya mbeleko
Majibu anayo Ancelotti.Bado siamini tumeingiaje final
Kuna tofauti ya Fans na FanaticsWewe sio Real Madrid wala nini, kwanza hata football yenyewe huijui, okay tuelezee unataka kusema nini? Tuambie hii mbeleko ikoje?
uefa Super cupNatamani sana kuona mechi kati ya Bayer Leverkusen na Real Madrid, sema ndo hivo hawawezi kukutana
Wakatarunya hao bado wana wenge la kupigwa 4 na GironaTuambie waliua offside kivipi? Elezea tukusikie, watu wanajua football humu
Aliamini kashinda akafanya sub za kipuuzi umbwa kabisa alijua yuko bundesliga.Tuchel hakuamini macho yake anataka kuleta vurugu. Angemuuliza mwenzake Guadiola
Achana na mizumbukuku iliyohemukwa na mahaba niue hadi haielewi kuwa Real Madrid kapita kwa mbeleko.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
nopeSidhani kama Mbape anaweza kuja kumweka benchi Vinu
Next time refa uwe weweAchana na mizumbukuku iliyohemukwa na mahaba niue hadi haielewi kuwa Real Madrid kapita kwa mbeleko.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hesabu za don carlo ziljibu kama uliona vizur kipind cha pili Vin alishuka pembeni na akawa anatengeneza nafasi nyingi zikawa zinakosa mtu wa kuzitumia alitengeneza nafasi kama nne ivi mipira ikawa inapita tu had kuna mda alikua ana amua a drive akafunge mwenyeBado siamini tumeingiaje final