Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

IMG_20240418_012411.jpg
we huogopi
 
Najua fainal haitakuwa nyepesi kwa sababu hawa Dortmund wana vijana wengi sana na wana kazi balaa..

Natamani fainal pale golini awepo Thibo,kwa sababu uwezo wake wakusoma mwendo wa mchezaji ni mkubwa sana.

However,for now tusherehekee kufika fainal expecting tunaenda kuchukua ndoo ya 15.
 
Back
Top Bottom