Kenge mkubwa wewe !Tunawapelekea moto hivo hivo hata kama mkifunga mirango na madirisha kudadekiii
Namimi niliombea iwe ivi ili tuwashindilie nyingiMimi nilitaka iwekwe mbili kwa mbili twende dakika 30.
Maana bavarians walikuwa wamemaliza kiungo
😅😅Mzee muhun sana uyu alaf anatumia Inhaler
Fundi saana Yule, Sema ndio hivyo Mwisho wa Zama,Mkuu Luca akistaafu nitalia machozi, namkubali sana!
Mzee hukuona alivyokuwa anaua moves golini kwaosasa amefanya nini mpaka sasa kikubwa kushinda wenziwe?
Mathematician.
🤣 bibie kabana sana lknNeuer kabana sana mwisho kaachia mwenyewe 🤣
Mi ni Real Madrid siku zote ila huwa sinaga upuuzi wa kutaka mbeleko kiasi hiki.Toba!
Hakuna fainali kali yoyote kwa mbeleko ya Real Madrid leo itoshe kusema duniani huna hela huna haki.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kwaio bayern hana hela?Hakuna fainali kali yoyote kwa mbeleko ya Real Madrid leo itoshe kusema duniani huna hela huna haki.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mbeleko gani MzeeMi ni Real Madrid siku zote ila huwa sinaga upuuzi wa kutaka mbeleko kiasi hiki.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mpira mchezo wa ajab sana ingekuwa kibongobongo kipa wa tim pinzan kafanya ivyo ungesikia bahasha imetembeaMpira kitu cha ajabu sana, Neuer amefanya saves nyingi kweli nyingine unaona kabisa angekuwa golikipa mwingine ingekuwa goli, ila mpira wa Vinicius ukamshinda kuudaka.,