Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,212
- 4,735
Tupo dimban na lp lepzig
Presha inaongezeka kadri muda unavyoendaHii game sasa ishakuwa serious.
Afadhali.
Kwahiyo, tutakutana na Man City ama draw nyingine itachezeshwa.
mendy jana kapwaya sana kocha pia sikuelewa kwanin alifanya Sub ya Camavinga alivyotoka tu timu ilipotea sana timu ilikuja kutulia Baada ya kuingia luka Modric ila wale watoto kipindi cha kwanza jana wangekua serious sana Real madrid safari ilikua imevia maana openda kakosa sana magoli ya waziI watched the game last night aseee kaa hivi ndo tunacheza aseee tlikuwa very weak. Kama vile tulikuwa ugenini. Nilifikiri kwenye robo au nusu fainali tupewe cityzens tumalizane nao ila napata wasi wasi mkubwa.
Hapa nimegundua vitu kadhaaa.
1. Spanish la liga tunaitaka sana tena sana.
2. Ucl title tunaitaka sana.
Mapendekezo na mawazo yangu:
1. Rotation ifanyike vizuri japo majeruhi yaliopo rotation ikifanyika kuna wachezaji wapo fit ila hawana uzoefu wa kutosha kutupatia ubingwa.
2. Tu drop one of these major silverware kama si la liga basi Ucl otherwise tunaweza kosa vyote au kwa mbinde mno.
3. Alfonso davies na mbape tunawahitaji mno msimu ujao. Mapema sana.
Nikimcheki pep rotation anayoifanya sio ya kitoto asee kwenye mechi ya ucl jana kipara kafanya rotation ya aina yake aseee
mendy jana kapwaya sana kocha pia sikuelewa kwanin alifanya Sub ya Camavinga alivyotoka tu timu ilipotea sana timu ilikuja kutulia Baada ya kuingia luka Modric ila wale watoto kipindi cha kwanza jana wangekua serious sana Real madrid safari ilikua imevia maana openda kakosa sana magoli ya wazi
Tunaongoza tayari, vijana watupatie goli la pili tuwe na uhakika sasaMechi 10 zilizopita H2H:
R. Madrid: 9 wins.
Celta Vigo: 0 wins.
Draw: 1
History inatubeba.