Vin kafunga Goli anashangilia kwa kuwaonesha ishara ya kupinga Racism ila mijamaa Bado inamtukanaHT 2-1
Kwanini mechi za Valencia na Real Madrid zina tension sana? PAGAN
Umesomeka comradeKwasababu Spain kuna Madridistas na AntiMadrid. Madridistas ni Real Madrid, AntiMadrid ni wale wanaoichukia Real Madrid na mafanikio yake. Hii chuki sio ya kimichezo tu, ni deep kabisa kutoka moyoni.
AntiMadrid includes all other giants in la liga, Atletico, Barca, Valencia, na wengine.
Ndio maana unaona Valencia hawauzi wachezaji to Real hata kwa mbinde. Bora wamwache aende Barca hata kwa pesa kidogo.
Sijui kama nimeelezea vyema, lakini inaonekana kabisa, kuifunga Real Madrid ndio target ya Valencia kila msimu na wala sio kubeba kombe.
Naongezea tuu kwamba hata kepa wakati anauzwa toka BILIBAO kwenda CHELSEA ndo nikaona kwamba clubs nyingi za spain hasa giants wengi ni antimadrid. Buyout clause ilifutwa usiku wa manane ili kepa auzwe chelsea asiende madrid.Kwasababu Spain kuna Madridistas na AntiMadrid. Madridistas ni Real Madrid, AntiMadrid ni wale wanaoichukia Real Madrid na mafanikio yake. Hii chuki sio ya kimichezo tu, ni deep kabisa kutoka moyoni.
AntiMadrid includes all other giants in la liga, Atletico, Barca, Valencia, na wengine.
Ndio maana unaona Valencia hawauzi wachezaji to Real hata kwa mbinde. Bora wamwache aende Barca hata kwa pesa kidogo.
Sijui kama nimeelezea vyema, lakini inaonekana kabisa, kuifunga Real Madrid ndio target ya Valencia kila msimu na wala sio kubeba kombe.
Naongezea tuu kwamba hata kepa wakati anauzwa toka BILIBAO kwenda CHELSEA ndo nikaona kwamba clubs nyingi za spain hasa giants wengi ni antimadrid. Buyout clause ilifutwa usiku wa manane ili kepa auzwe chelsea asiende madrid.