Aeko
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 496
- 1,117
yeah wakikaa wakikumbuka vinny alinunliwa kwa almost 40m kutoka flamingo FC mpaka akajakupewa jezi nzito namba 7 basi uvumilivu ni kitu bora sana kwenye mpiraSioni haja ya huu mjadala., sana sana kuna watu wanataka kumshusha Jude basi., ila ninachojua ni kuwa kijana bado ana muda wa kubadilika na kuendelea kuimarika, ndio kwanza ana miaka 20 tu.
Kama Vinicius Jr amebadilika na kuimarika sioni kwanini isiwe kwa Jude.
vijana wetu wote wana, quality nzuri na kuhusu hio debate ya jude na musiala ni sawa sawa na mechi ya jana sancho na mbappe nani alikuwa bora
of course sancho made 12 successful dribble most dribble than any other made in English player... last time a person made those amount of dribble was messi v/s Manchester utd final
swali jee sancho ni bora kuzidi mbappe well... its complicated to answer kisa mmoja, jana kafanya poa zaidi ya mwengine wakati bado kuna second leg its the same kwa jude na musiala watu wanasema musiala did wonders than jude sababu musiala alikuwa na, advantage ya home ground fans na ile composer yakufanya anacho kifanya nakupelekea mtu kama jude (mbappe) kuwa kwenye shadow now the next leg ndio itawafunga watu midomo
kila mtu ashinde mechi zake nyumbani kwake