Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Sioni haja ya huu mjadala., sana sana kuna watu wanataka kumshusha Jude basi., ila ninachojua ni kuwa kijana bado ana muda wa kubadilika na kuendelea kuimarika, ndio kwanza ana miaka 20 tu.
Kama Vinicius Jr amebadilika na kuimarika sioni kwanini isiwe kwa Jude.
yeah wakikaa wakikumbuka vinny alinunliwa kwa almost 40m kutoka flamingo FC mpaka akajakupewa jezi nzito namba 7 basi uvumilivu ni kitu bora sana kwenye mpira

vijana wetu wote wana, quality nzuri na kuhusu hio debate ya jude na musiala ni sawa sawa na mechi ya jana sancho na mbappe nani alikuwa bora

of course sancho made 12 successful dribble most dribble than any other made in English player... last time a person made those amount of dribble was messi v/s Manchester utd final

swali jee sancho ni bora kuzidi mbappe well... its complicated to answer kisa mmoja, jana kafanya poa zaidi ya mwengine wakati bado kuna second leg its the same kwa jude na musiala watu wanasema musiala did wonders than jude sababu musiala alikuwa na, advantage ya home ground fans na ile composer yakufanya anacho kifanya nakupelekea mtu kama jude (mbappe) kuwa kwenye shadow now the next leg ndio itawafunga watu midomo

kila mtu ashinde mechi zake nyumbani kwake
 
ni mawazo yako it's okay yaheshimiwe but hawa waliopo still bado ni wachezaji wetu hata mtu aweje inabidi tumvumilie sisi kama fans tumkumbatie maana huyo ndio wetu sisi

still kwa jude naona bado muda wakutoa conclusion kwa wanaomjua vizur ni one of the best player in the world right now

1 starter for England team CAM hamna wakumuweka benchi

2 price tag of 180m watu walio mvalue sio kwamba hawajui mpira kutuzidi sisi

3 21G/A in laliga ni wapili toka dovbky na amekuwa mchango mkubwa hasa katika mechi za laliga alikuwa on fire

4 he is young with much time to adapt from the best in order for him to be the best

5 ongezea

Na tatizo kubwa la huyo kijana ndio hilo, one of the best player in the world, sijua huwa mnatoa wapi munakubali kukaririshwa tu, One of the best player in the world ndivyo anavyokua na standard ile? yakupotea uwanjani gam nzima? Jamaa Champion league toka ianze round of 16 hana Goli wala Assist.

1. kuwa stateter England sio hoja yenye mashiko mana hata Magure nae pia ni starter England

2. Aliekwambia nani kuwa watu wakituoa hela ndefu wanajua wanachokifanya? Barca ililipa nearly 160m kwa Coutinho wakaishaia kula hasara nzito, hao Madrid walilipa 100m kwa hazard wakaishia shoti ndefu. chelsea wamtumia nearly 1 B ndani ya misimu miwili na timu ipo kwenye hali mbaya sana, tuache maisha ya kukariri sio kila wanachofanya wazungu ndio lazima kiwe sahihi.

3. nakukosoa mkuu amepitwa pia na lewandowski sio dovbky peke yake, na ni kweli amkua na mchango ila mkuu since January hata goli tano hajafikisha, upeopo umkata mda mrefu sana sasa.

4. Experience yangu inanambia ni ngumu sana kwa wachezaji wa kiengereza kudevolope zaidi ya wanapoanzia, wengi wao best years zao ni wakiwa makinda.
 
yeah wakikaa wakikumbuka vinny alinunliwa kwa almost 40m kutoka flamingo FC mpaka akajakupewa jezi nzito namba 7 basi uvumilivu ni kitu bora sana kwenye mpira

vijana wetu wote wana, quality nzuri na kuhusu hio debate ya jude na musiala ni sawa sawa na mechi ya jana sancho na mbappe nani alikuwa bora

of course sancho made 12 successful dribble most dribble than any other made in English player... last time a person made those amount of dribble was messi v/s Manchester utd final

swali jee sancho ni bora kuzidi mbappe well... its complicated to answer kisa mmoja, jana kafanya poa zaidi ya mwengine wakati bado kuna second leg its the same kwa jude na musiala watu wanasema musiala did wonders than jude sababu musiala alikuwa na, advantage ya home ground fans na ile composer yakufanya anacho kifanya nakupelekea mtu kama jude (mbappe) kuwa kwenye shadow now the next leg ndio itawafunga watu midomo

kila mtu ashinde mechi zake nyumbani kwake

Tofauti ya Jude na Vini ni kuwa wakati hicho kipindi vini ana develop hatukusia wala kuwahi kutangazwa kuwa Best Player in the world, wakati huyu kijana wao tumekuwa tukisia hizo nyimbo karibu mwaka sasa kuwa ni best player in the world.
 
SUALA LA JUDE BELLIGHAM NA JAMAL MUSIALA SI MJADALA.

Kabla ya Mechi ya Jana sikuwahi kusikia wala kuona mjadala Kama huu ukikua kiasi hiki.

Jude kacheza Bundasliga zaidi ya misimu miwili,
na walikutana Sana Tu kwenye Derby ya Buyern Munich Vs Borussia dortmud,
mashabiki na nyie wachambuzi na vingereza vyenu mlikua kimya kwann?

Kwann huu mjadala umeanza Jana baada ya Mechi na si kabla ya Mechi?

Vipi Kama mechi hiyo Madrid angeshinda je huu mjadala ungekuepo?

Kwann wamesubiri Jude Acheze Chini ya kiwango mechi moja,
then mechi hiyo hiyo mtumie kumlinganisha Kwa kiwango cha jumla na Jamal aliekua kwenye high performance mechi husika?

Kama mkijadili kuhusu mechi ya Jana Tu Jamal Vs Jude,
To be honest Jamal alikua na mechi Bora Sana Jana.

Ila mkitaka tujadili kuhusu kwa ujumla nani zaidi Kati Yao Kwa kuzingatia Performance na Quality ya hawa wawili hapana Kwa kweli,
Jamal kua juu ya Jude nimekataa,

Sijakataa kwamba Dogo ni Talented Footballer,
nachopinga ni kumshindanisha na mtu alie juu yake.

Tazama takwimu zao.

Jamal ana miaka 21 Jude 20,

katika michuano ya UEFA champions League.

Jamal ameanza kushiriki msimu wa 2020-21, Jude hivyo hivyo pia.

Jamal Mpaka sasa amefanikiwa kucheza Mechi 33 Jude 32,

Jamal Kafunga Goal 4 Jude 10.

Jamal katoa Assist 3, Jude 9.

Jamal hajaingia hata mara moja kwenye UEFA Champions League Team of the Week,
Jude kaingia mara 3,

Takwimu hazimbebi Jamal labda anacho-mzidi Jude ni umri na namba ya jezi Tu,
42 Kwa 5.

Japo ni Mjadala huru Sio lazima uamini mwenzako anachokiamini,

Ila Jiulize Kwann JUDE akiwa kwenye ubora wake husikii watu wakimshindanisha na JAMAL?.

Kiungwana kabisa Jamal ni mchezaji mzuri Sana,
Ila kumpandisha mtu sio lazima umshushe mwingine
angalieni na wa kushusha.

Haters Haters Haters

"Ondoeni chuki binafsi Mu-enjoy football".

Jude yupo juu ya Musiala? Duh! Simchezo
 
Na tatizo kubwa la huyo kijana ndio hilo, one of the best player in the world, sijua huwa mnatoa wapi munakubali kukaririshwa tu, One of the best player in the world ndivyo anavyokua na standard ile? yakupotea uwanjani gam nzima? Jamaa Champion league toka ianze round of 16 hana Goli wala Assist.

1. kuwa stateter England sio hoja yenye mashiko mana hata Magure nae pia ni starter England

2. Aliekwambia nani kuwa watu wakituoa hela ndefu wanajua wanachokifanya? Barca ililipa nearly 160m kwa Coutinho wakaishaia kula hasara nzito, hao Madrid walilipa 100m kwa hazard wakaishia shoti ndefu. chelsea wamtumia nearly 1 B ndani ya misimu miwili na timu ipo kwenye hali mbaya sana, tuache maisha ya kukariri sio kila wanachofanya wazungu ndio lazima kiwe sahihi.

3. nakukosoa mkuu amepitwa pia na lewandowski sio dovbky peke yake, na ni kweli amkua na mchango ila mkuu since January hata goli tano hajafikisha, upeopo umkata mda mrefu sana sasa.

4. Experience yangu inanambia ni ngumu sana kwa wachezaji wa kiengereza kudevolope zaidi ya wanapoanzia, wengi wao best years zao ni wakiwa makinda.
okay japo in my final suggestion tumpe kijana muda
pengine ni zidane kweny kivuli kikavu tunapokuwa na pupa hatutaliona hilo... pia ni mapema sana kusema chochote iwe much positive tuta overrate mambo na pia much negativity tunakuwa tunaviua vipaji mapema

trust the process
 
Mkuu unajiaibisha sana,
Musiala ni photocopy ya akina leo Messi, David silva, Iniesta
Jud ni photocopy ya akina kevin prince boateng
aisee jude sio copy ya zidane tena

kwahio mna conclude nn sasa twende tukamswap na musiala pale bayern au tum uzie city afu hio pesa tukamchukue musiala

au tumlete musiala CAM aje acheze na CAM mwenzie jyde kwa pamoja
 
aisee jude sio copy ya zidane tena

kwahio mna conclude nn sasa twende tukamswap na musiala pale bayern au tum uzie city afu hio pesa tukamchukue musiala

au tumlete musiala CAM aje acheze na CAM mwenzie jyde kwa pamoja

Zidane na Jude wapi na wapi mkuu? Kwa kweli ni matusi kabisa
 
Mkuu unajiaibisha sana,
Musiala ni photocopy ya akina leo Messi, David silva, Iniesta
Jud ni photocopy ya akina kevin prince boateng
kumbe Uwezo wa MTU inategemea na photocopy?

Hata Nasi tunataka tujue wewe zimo au hazimo!!!

Basi tuambie wewe ni photocopy ya nani?

Maana usiwe unawajua ma photocopy wa wenzio ilihali we hujui mi photography wa nani.
 
Habari njema ni kuwa kipa letu la kibelgium limerudi na Jumapili litakuwa uwanjani kukipiga ili kupata match fitness.

Itakuwa njema akikaa golini siku ya match ya marudio na Bayern maana Lunin ukipiga tegeta na mbagala as long ulenge goli ujue imo.
 
Back
Top Bottom