pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,040
- 3,274
Namna timu leo ilivyo nzito ingekuwa ni bongo tungesema wamepigwa mawe miguun
Kwanini sio ushindi Mkuu.,
Kwenye soccer hakuna ndumba.Leo game inaisha draw, matokeo yoyote kwetu yatafaa
Unaweza kunipa matokeo na my wako yapojeGame na my wetu barca saa ngapi aseeee
Hii ndio madrid mnayotaka ije icheze na Chelsea?Ule upande wa Nacho siyo tu haushambulii hata kukaba haukabi..hii beki yao yakulia inajipitia tu kule..
Hahah... SubiriniHuyu tukimtegemea mechi na chelsea..aisee mapema sana tunalia..
Huyu dogo sijui kwanini mpka leo bado yupo RMASasa qmanina huyu mariano kaenda kufanya nini huko ndani?
Marcelo uyu mwenye umri Kama kabudiAfadhali hata acheze marcelo angalau tutapata faida yakushambulia...modric ampishe Camavinga..
Kwa hii barca unaotaHopefully tutabadilika kipindi cha pili., uwezo wa kurudi mchezoni tunao.,
Unataka afumbe machoNacho ana mtero sana. Yeye anakabia macho tuu
Anampa tako perezHuyu dogo sijui kwanini mpka leo bado yupo RMA
Ukija bongo niletee jersey ya busquetsQmmae,mshukuru sana sana-Xavi kachelewa kuja Barca-tungekuwa tunaongea mengine hapa