Teh april mosi inakaribia
Kukamata ruksa, kunyofoa marfuku!
Lazima nikukamate siku hiyo!
Kukamata ruksa, kunyofoa marfuku!
Umenikamata mkuu. Duh! We mkare.
Mhhnnn... Inaonyesha we ni mzuri wa kukamata kama ilivyo sura yakoLazima nikukamate siku hiyo!
Hapa hakuna atakayechomoka
Teh halafu nasikia ni birthday yako.....teh ni kweli???
Mhhnnn... Inaonyesha we ni mzuri wa kukamata kama ilivyo sura yako
Teh subiria tu itafika....umezaliwa siku ambayo maji ya bahari huwa yanajaa hadi kariakoo....Hahaha kweli erick umenichoka... Ila ingekua birthday yangu kweli ningefurahi sana..
Teh subiria tu itafika....umezaliwa siku ambayo maji ya bahari huwa yanajaa hadi kariakoo....