bigjeff
Senior Member
- Oct 25, 2009
- 111
- 22
Wandugu ambao mpo kwenye Sector hii naombeni msaada wakujua jinsi ya kupata mkopo wa kujenga ,changamoto zake, gharama, na vinaitajika nini ili upate mkopo?(Business Proposal).Tuna sehemu nzuri sana Dar(kijitonyama) viwanja viwili vitatu ambavyo nataka kuviendeleza kwa kujenga small apartments kwa ajili ya waajiriwa (mabachelors)......myelife na olesaidimu nimesoma Threads mbili tatu mnaonekana mnauzoefu kidogo nitaomba msaada wenu.Asanteni.