Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Kuna wakati unahisi kabisa kila kitu ki baridi katika mahusiano yenu wewe na sweet wako.Unahisi kabisa kwamba mambo hayako kama yanavyotakiwa yawe.Licha ya kugundua mwenzako kukosa ule mshawasha na hamu na wewe,lakini pia hata wewe unahisi hauna hisia kama ilivyokuwa hapo mwanzo.Lakini pia hakuna bifu yoyote kati yenu,na hata mnapokuwa mnafanya mapenzi,unasense kabisa ni kama mnajilazimisha.
Hivi unashauriwa kufanya nini ili kurudisha mshawasha na hisia za mapenzi katika mahusiano yetu na maasali wetu wa mioyo.
Hivi unashauriwa kufanya nini ili kurudisha mshawasha na hisia za mapenzi katika mahusiano yetu na maasali wetu wa mioyo.