kasopa
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 302
- 56
Bwana asifi
jamni leo najito kimasomaso kila mara huwa naona humu wanongelewa wachaga lakini sijawahi kusoma na mimi napendana na binti wa kichaga na nampango wakumuoa kabisa sasa hebu nijuzeni nini hasa ubaya wao nauzuri wao nataka jua nimekaa na mpenzi wangu sijaona kitu kibaya na kizuri zaid nilchokiona ni Inkonomi sana mwanzo tulikuwa tukienda kula sehm kubwa baadae ikawa hataki twende huko natunaenda sehem za kawida na beirahisi kanifundisha kuwa mchumi na sio mkubwa mpaka vile bado msijana mdogo ndo kwanza ana22 naomba ukweli japokuwa kutakuwa na wasi kwa bazi ya watu lakini haitokuwa sababu ya kutomuoa vidole havipo sawa
jamni leo najito kimasomaso kila mara huwa naona humu wanongelewa wachaga lakini sijawahi kusoma na mimi napendana na binti wa kichaga na nampango wakumuoa kabisa sasa hebu nijuzeni nini hasa ubaya wao nauzuri wao nataka jua nimekaa na mpenzi wangu sijaona kitu kibaya na kizuri zaid nilchokiona ni Inkonomi sana mwanzo tulikuwa tukienda kula sehm kubwa baadae ikawa hataki twende huko natunaenda sehem za kawida na beirahisi kanifundisha kuwa mchumi na sio mkubwa mpaka vile bado msijana mdogo ndo kwanza ana22 naomba ukweli japokuwa kutakuwa na wasi kwa bazi ya watu lakini haitokuwa sababu ya kutomuoa vidole havipo sawa