Atafungwa mshaurini gwajima asikae na ushahidi ofisini aupeleke kwenye mamlaka husika afungwe haraka.Ikibainika alifoji vyeti afungwe tu
Atafungwa mshaurini gwajima asikae na ushahidi ofisini aupeleke kwenye mamlaka husika afungwe haraka.Ikibainika alifoji vyeti afungwe tu
hapo ni kosa la udanganyifu... na sidhan kama itakuwa kweli huyo jamaa ataponahata akivitoa mtasema ni vya kugushi.. kwani mna maana nyie. muacheni aendelee na kazi zake na nyie endeleeni na ya kwenu. hata hivo cheti hicho mnachotaka haikuwa criteria ya kuchaguliwa kwake.
Kuna ulazima gani? wa kutoa vyeti na ni mamlaka gani? inayomtaka atoe vyeti. na asipotoa kitatokea nini? Na kwanini haya yote yaibuke kwenye sakata la dawa za kulevya.Kwa mtu anayejiamini angetoa vyeti vya form four faster bila kuzunguka mbuyu. Serikali ya hovyo hovyo na viongozi wa hovyo hovyo
Licha ya kuandamwa na tuhuma za kughushi vyeti, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema hawezi kuzungumzia suala hilo kwani majibu yake yapo mtandaoni sakata lilipoanzia.
Makonda amesema hayo leo (Ijumaa) alipoulizwa swali na wanahabari kuhusu uhakika wa taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa alinunua vyeti na kutumia jina lisilo lake.
"Maswali ya mitandaoni yanaishia mitandaoni siko hapa kupoteza focus (mwelekeo). Ukiona maneno mengi yanaibuka kwenye ishu ya dawa za kulevya ndiyo ujue vita imefika penyewe," amesema Makonda.
Chanzo: Mwananchi
....Ngoja nivute kiti nikae nisubiri data,.....hivi hayupo Facebook???
Wale waliotumbuliwa sio watanzania ni wa Vietnam sio?Hizo ni chuki binafsi ww hujiuliz n kwann yote haya yameanza baada ya hii vita dhidi ya wauza unga?
Wameshindwa kumuua sasa wamemtafutia zengwe.
Tz uzalendo ni sifuri yan na sisi tunashabikia tu au ndo siku nzuri kwa mlala hoi tajiri akila msoto?
Yeye amejibu kuwa ni Mhaya na Bashite Msukuma hivyo hawawezi kupeana vyeti haaaaa. Wizara itoe cheti cha Muyenge na hiki cha Makonda tuone scores... Lakini pia tuone namba zao za mtihani.... Isitoshe tujue shule walizosoma... Hii kashifa ni kubwa kuliko ya Kihiyo na sizonje asifunge vioo ataanguka nalo hii. [HASHTAG]#uhakikivyeti[/HASHTAG]
Wamuue kwa lipi sasa? Umeishiwa hoja. Gwajima alisema atatoa pigo na ametoa kwa ushahidi baada ya kazi ya akina Mange KimambiHizo ni chuki binafsi ww hujiuliz n kwann yote haya yameanza baada ya hii vita dhidi ya wauza unga?
Wameshindwa kumuua sasa wamemtafutia zengwe.
Tz uzalendo ni sifuri yan na sisi tunashabikia tu au ndo siku nzuri kwa mlala hoi tajiri akila msoto?