jamaa ni mzaliwa wa kibara-bunda katika kijiji cha mwigundu wazazi wake ni wachawi ile mbaya.
Umependa nini sasa? Wanavyofanya magamba unafurahia sana? We acha mambo ya ajabu.Kuna mtu (Mbowe), juzi alikuja hapa na kuhoji hivi Mkuu wa Mkoa (Arusha) ni nani hadi atishe watu?
Nimeipenda hiyo.
Chenga Tupu! Arusha hatusapoti U.shoga!RC is 100% right.
CHAPA KAZI KIONGOZI, HAKUNA WA KUKUTISHA. UNAYO SUPPORT YA WANA-ARUSHA.
Wakati mefika kusafisha mambo ya kihuni Arusha. Enough is enough.
Haiwezi kabisa chaliangu.........huyu bibi Magessa, atapata wakati mgumu sana Archuga!
Chenga Tupu! Arusha hatusapoti U.shoga!