binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,905
- 22,298
Hivi hawa siku hizi nyimbo zao ni zipi na zinapigwa wapi? Ni kama wamechanganyikiwa hawaelewi chakufanya.WCB Wana hasira na Konde boy na hii watakomaa nayo kumdhalilisha mpak akome
Why ??
Vannboy kuna attention alikuwa anaitfta ya project mpya so kuna conversation Kati yake na Paula walikuwa wanafanya Kwa njia ya caption , lakn pia Ngoma mbili za WCB kuzifanya zimeintain on top YouTube ....
Konde boy kuona hvyo akapost video ya Kajala na Paula wakiimba wimbo wake hii ikafanya wave yote aliyoitengeneza vaanboy ihamie Kwa kodeboy ....
DK chache Konde boy akaachia wimbo , akijua ataenda kuwasumbua wajuba pale juu
WCB+ Vannyboy akapigilia msumari wa Moto
Ambacho hakujua Konde boy ni kuwa Paula na mama yake hawapo upande wake tena too late to resolve.....
Mchezo usiuchezee weweeee😂
Mwenzao Diamond pamoja na kiki zake zoote za kijinga, alikuwa anafanya ngoma ina kiki na kiki yake. Hafanyi kiki ilimradi kiki, anafanya kiki kubust muziki wake.
Mfano hamo kiki yake na kajala imemsaidia kitu gani so far?!