Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 882
- 1,029
Mimi nataka na ratiba ya zote nijiandae mapema.
Dada unaonekana mrembo kwenye picha
Mimi nataka na ratiba ya zote nijiandae mapema.
Poa usijali Mungu amepanga upate ajira chini ya serikali ya ukawa.
Dada unaonekana mrembo kwenye picha
Allahuma Amiin! Nashukuru sana mkuu.
Then, ili tusiyape magamba nafasi nashauri avumilie mpka trh 21 aanze mchaka mchaka. Bado wiki 2 tu.Nina imani,mkoa wa kwanza tu,atapigwa stop! Kisa,ANAFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA!! Kwa Magufuli aaaaaaaaah!!!!
Lowasa ndo Rais wa JMT amin ivo
Mtoto wake hajakamatwa na unga China
Vuta subira .Ndani ya masaa 48
ni mwendo wa chopa kwa ku go front, mpaka awatagishe ma ccm yai la mbuni.Kwa taarifa Lowasa ni Mgonjwa hawezi kuzunguka mikoani hadi afya yake itakoimarika
Mkuu, broo alituambia tusubiri kamati kuu sasa sijui amefikia wapi....maana nasikia tayari alishaangukia pua wenyekiti bavicha mara2.Ha ha ha ha ha .....mkuu upo ulizidiwa kura mpaka na wema sepetu uko sawa lakini naona selasini alikupa kibano cha haja kwenye kura za maoni.
watanzania tupo tiyari ila cha ajabu kuna baadhi ya viongozi eti bado wanasuasua!!!Alichofanya Lipumba hakieleweki ila kama kachumia tumboni hewala, slaa tunasubiri atamke ila watz tunataka mabadiliko