Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Wewe mchumia tumbo ukiachana na CCM utakufa njaa maana hutopata buku 7 tena, ulishazoea kushinda kutwa nzma kwenye vibaraza vya ofisi ya chama mkipika majungu wenyewe kwa wenyewe
HuoUle wimbo pendwa wa komba tafadhali
Usiwasahau na "MALOFA"
Hali hizo zimewafanya kina "mchumiatumbo" kwa baadhi ya nyakati kujitoa kule ili kujiongezea thamani pindi warudipo "kuunga mkono juhudi!!"CCM kimechokwa sana hasa kwa kutengeneza jamii ya wasioguswa kama Mkuu wa mkao wa Darsalama.
Vikundi vya mauwaji visivyoguswa vikisaka Watanzania haswa wale wenye mawazo tofauti na kuwanyamazisha milele.
CCM imekuwa bingwa wa kutengeneza matatizo halafu kuja kuyatatua kabla ya uchaguzi tena kwa mbwembwe.
Hahaaa unamkataa mpiganaji wenu leo? Kisa kachoka kutumiwa kama msukule?
Miaka ishirini ni mingi sana kubadilisha nchi.Kwa kweli mnisamehe kwa sasa inanibidi nifikirie Kama mtu mwenye akili sawasawa.
Haiwezekani Malaysia waweze kuibadilisha nchi yao na kuifanya Kuwa tajiri kwa miaka 20 tu. Sisi tunakwama wapi?
Watoto wa kimasikini bado idadi yao iko kubwa sana.
Miaka 20 Ni mingi jamani kwa watu wenye elimu kufanya mabadiliko na kuleta maajabu.
Pole sana mkuu kwa kumpoteza mamaBinafsi CCM ni Maisha yangu kwa Shida na Rahaa.
Marehemu Mama aliniachia Nyumba kila kitu lakini sikupata hata kimoja zaidi ya Kadi yake ya CCM.
Yes CCM ni Dira yangu na Maisha yangu.
Itakuwa vema sana maana upo huko kama bidhaa isiyo na manufaa.Miaka ishirini ni mingi sana kubadilisha nchi.Kwa kweli mnisamehe kwa sasa inanibidi nifikirie Kama mtu mwenye akili sawasawa.
Haiwezekani Malaysia waweze kuibadilisha nchi yao na kuifanya Kuwa tajiri kwa miaka 20 tu. Sisi tunakwama wapi?
Watoto wa kimasikini bado idadi yao iko kubwa sana.
Miaka 20 Ni mingi jamani kwa watu wenye elimu kufanya mabadiliko na kuleta maajabu.
Hata kasi ya kurudi nyuma nayo ni kasi piaKwa hii kasi anayo enda nayo Magufuli wacha tu nijiunge Ccm kwaanzia leo.....
Hufanyi kazi unataka kufanana na wengineMiaka ishirini ni mingi sana kubadilisha nchi.Kwa kweli mnisamehe kwa sasa inanibidi nifikirie Kama mtu mwenye akili sawasawa.
Haiwezekani Malaysia waweze kuibadilisha nchi yao na kuifanya Kuwa tajiri kwa miaka 20 tu. Sisi tunakwama wapi?
Watoto wa kimasikini bado idadi yao iko kubwa sana.
Miaka 20 Ni mingi jamani kwa watu wenye elimu kufanya mabadiliko na kuleta maajabu.