Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 3,978
- 4,746
ulitakiwa utujibu haya maswali kabla hujatoka huko usije na huku ukatuletea mazoea ya kuupenda umaskini.kwa kuwa na wewe ni moja ya watu waliotuchelewesha.Miaka ishirini ni mingi sana kubadilisha nchi.Kwa kweli mnisamehe kwa sasa inanibidi nifikirie Kama mtu mwenye akili sawasawa.
Haiwezekani Malaysia waweze kuibadilisha nchi yao na kuifanya Kuwa tajiri kwa miaka 20 tu. Sisi tunakwama wapi?
Watoto wa kimasikini bado idadi yao iko kubwa sana.
Miaka 20 Ni mingi jamani kwa watu wenye elimu kufanya mabadiliko na kuleta maajabu.