utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,830
- 2,417
changa hili
Wewe ndio Kichere nini?Halafu anakuja mtu ananiambia kwamba awamu hii imetufundisha kutumia hela vizuri eti kwamba tulikuwa tunadharau pesa tunayopata.hivi mtu Kama ulikuwa unapata laki tano kwa mwezi halafu Sasa Hivi unapata laki mbili tu utasemaje maisha magumu au sio magumu?acheni utani jamani vijana tunazidi kupoteza ndoto zetu hazitimii..tutaoa?tutajenga nyumba zetu kweli kwa style hii?mawazo yataisha kweli? watanzania tuna machungu Sana furaha hakuna moyoni Kama kungekuwa na kipimo mngepima muone.matarajio yetu wengi ilikuwa awamu mpya maisha yetu yabadilike lakini sio kwa style hii?
Mabadiliko hayana ukomo. Hata Malaysia bado inapambana kubadilika.Miaka ishirini ni mingi sana kubadilisha nchi.Kwa kweli mnisamehe kwa sasa inanibidi nifikirie Kama mtu mwenye akili sawasawa.
Haiwezekani Malaysia waweze kuibadilisha nchi yao na kuifanya Kuwa tajiri kwa miaka 20 tu. Sisi tunakwama wapi?
Watoto wa kimasikini bado idadi yao iko kubwa sana.
Miaka 20 Ni mingi jamani kwa watu wenye elimu kufanya mabadiliko na kuleta maajabu.
Umenifanya ni cheke hapo mwisho.Kweli JF siku hizi haina "Watu" kabisa!
Huyu ndege JOHN siku si nyingi hapo nyuma kazi yake ilikuwa kusifia tu kila jambo!
Inaonekana sasa njaa inampiga analia kilio cha mbwa koko!
Post zake nyingi siku hizi inaonekana njaa inampiga mbaya!
Tulishawambia Mwanaume huwezi kutoboa katika maisha kwa kujipendekeza kwa wanaume wenzako lazima uweke misingi yako imara ya kujiletea Kipato!
Hata huyu Cyprian Musiba aliyejitoa akili na kuona kila mtu hana mawazo ya kuendeleza Nchi hii isipokuwa Rais Magufuli ,wewe subiri awamu hii ya 5 itoke madarakani utaona kama hicho kichwa chake cha tikiti maji kiko hivyo!
Ni zaidi ya miaka 30 na uhuru zaidi ya miaka 57Miaka ishirini ni mingi sana kubadilisha nchi.Kwa kweli mnisamehe kwa sasa inanibidi nifikirie Kama mtu mwenye akili sawasawa.
Haiwezekani Malaysia waweze kuibadilisha nchi yao na kuifanya Kuwa tajiri kwa miaka 20 tu. Sisi tunakwama wapi?
Watoto wa kimasikini bado idadi yao iko kubwa sana.
Miaka 20 Ni mingi jamani kwa watu wenye elimu kufanya mabadiliko na kuleta maajabu.
MAENDELEO YANACHANGIWA NA WANANCHI WOTE KUPITIA KODI ZAO, SIO VYAMA VYA SIASA. KILA MLIPA KODI ANACHANGIA MAENDELEO YA NCHI,CDM mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe - CCM iko imara anayesema nchi haina maendeleo mwambie:-
(i). Aangalie umeme vijijini,
(ii). Aangalie barabara za lami,
(iii). Aangalie viwanja vya ndege,
(iv). Aangalie maendeleo ya mawasiliano,
(v). Aangalie elimu bila malipo,
(vi). Aangalie mikopo elimu ya juu,
(vii). Aangalie zahanati na vituo vya afya nk nk
Umepofushwa na itikadi za kisiasa kiasi kwamba huwezi kuona mema ya CCM
Hao Laki si pesa na FF mbona kitambo...Msishangae Magonjwa Mtambuka, Laki si pesa, FF and the like wakakigura chama!
Siyo kwa kila posti iyo elfu saba ni kwa sikuNdio kusema hutaki tena kutia alfu 7 kibindoni kwa kila post?
Atakuwa kaibiwa simu na kijana wa ACT kipara kipya yeye alidai kijana wa CDM kachukua simu halafu akaposti ule ujumbe kuwa wanajitahidi kumvika nguo Mhe. lakini yeye anatupa.akili zimechelewa kurudi
Lawama zote kwa Joni!! Ameshamalizana na wafanyabiashara makada wa ccm!! Siku akitukumbuka na sisi Buku7 fc atuite kusikiliza kero zetu mnishtue aisee! Tumechoka walahi!! Sasa hivi ISIS hata buku ya bando imemshinda! Magonjwa Mtambuka analazimika kufanya vibarua vya hapa na pale ili awe hewani kumsifia jiwe!! Kwa kweli hali yetu ni mbaya sana!!mwenyekiti ametugeuza ma carpet fighters! Sijui haoni tunavyotukanwa huku?maisha magumu sana dah
Mambo magumu mangi!! Ukizingatia wengi hawakuwa na kazi nyingine zaidi ya kupiga tantalila hapa na pale kisha jioni mnagawiwa visenti kidogo vya kujikimu,siku hizi wanabana mno mkuu!! Unamkumbuka Makusudically ? Hahaaa! Juzi nimemkuta amerudi kazi yake ya u carpenter kijiweni kwake!! Anachongachonga vistuli na vimeza pale ila anasema angalau kidogo anapata dagaa za kupelekea familia! Makada wana hali ngumu uspime mkuu! Wanamkumbuka mzee lowassa alivyokuwa anawatoa kimango cha maana wanatamani kulia!!Hivi yule kipara kipya ndio alitekwa moja kwa moja ?
Sawa! Ila ndege john kaamua kwa utashi wake kuwaachia chama lenu wauaji!! Kwani kuna nchi haina kipande cha lami au reli?Jamani kama tume ya uchaguzi si huru mbona iliwatangaza akina:-
(i). Mbowe kuwa wabunge na walikubali?
(ii). Mnyika kuwa wabunge na walikubali?
(iii). Zitto kuwa wabunge na walikubali?
(iv). Mbatia kuwa wabunge na walikubali?
(v). Lissu (mwanasheria nguli) kuwa wabunge na walikubali?
(vi). Mdee kuwa wabunge na walikubali? nk nk nk
Katiba mnaipima kwa nafasi zipi - zikiwahusu mnafumba macho?
😆😆😆😆😆Mambo magumu mangi!! Ukizingatia wengi hawakuwa na kazi nyingine zaidi ya kupiga tantalila hapa na pale kisha jioni mnagawiwa visenti kidogo vya kujikimu,siku hizi wanabana mno mkuu!! Unamkumbuka Makusudically ? Hahaaa! Juzi nimemkuta amerudi kazi yake ya u carpenter kijiweni kwake!! Anachongachonga vistuli na vimeza pale ila anasema angalau kidogo anapata dagaa za kupelekea familia! Makada wana hali ngumu uspime mkuu! Wanamkumbuka mzee lowassa alivyokuwa anawatoa kimango cha maana wanatamani kulia!!