RASMI: Marekani Yaingia North Korea. US Aircraft Carriers Zilizofichwa Singapore Zapelekwa

Mkuu scud si hata Sadam Alikuw nazo? Au umejitoa fyuzi

Kwani umeambiwa anategemea scud?
Kwa taarifa yako NK ana Ballistic missiles ambazo THAAD battery's rada hazijawahi kufanyiwa majaribio ya kuzipangua.

Na ndio maana THAAD radar zilizokuwa SK zilishindwa ku detect bomu lililofanyiwa majaribio tarehe 6 mwezi wa 3
 
Hofu yangu ni kuwa kuna mataifa wanamchuza USA ili apigane then apate damage ili apitwe kiuchumi masna kuna taifa kama urusi linaweza kumsaidia NK through back door then USA akajikuta kawa damaged
US akipigana hyo vita yy ndo atafaidika sana. Niulize kwann!
 
Nilichangia humu kupitia thread zingine. Kitendo cha US VP Mike Pence kuonekana DMZ ndani ya binoculars that was complete war declaration. Sasa vita ni rasmi kinachosubiriwa ni order ya Commander-in-Chief tu vijana waanze kazi. Kim must go; sijui kwanini namchukia yule mpuuzi kiasi hiki.
Taja sababu inayokufanya umchukie
 
Mi nataka wapigane ili tuone nani mkali, wamezidi kutishana kwa maneno kama akina mama
 
Marekani wamtume Bashite akamteke Kim waepushe vifo vingi vya raia wasiokua na hatia,nilimchukia Kim niliposikia alimrusha mjomba aake kwenye zizi la mbwa wakali live tena akiwa uchi wa mnyama.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Uongo mtupu hakuna vita. japan na marekani wamekubaliana kuongeza vikwazo kwa korea kaskazini.
 
US akipigana hyo vita yy ndo atafaidika sana. Niulize kwann!
Kwa nini? Ila tambua vita inakata hela nyingi sana kurecover damage zake unajua USA aliwapita wenzie kiuchumi kwa sababu yeye alikuwa supplier wa silaha wakati wenzie wanapigana vita ya dunia
 
f3e440f4427db0c35ff76dcf42670513.gif
 
Kwani umeambiwa anategemea scud?
Kwa taarifa yako NK ana Ballistic missiles ambazo THAAD battery's rada hazijawahi kufanyiwa majaribio ya kuzipangua.

Na ndio maana THAAD radar zilizokuwa SK zilishindwa ku detect bomu lililofanyiwa majaribio tarehe 6 mwezi wa 3
Siwezi kubishana Na mtanzaNK.... kwani Wewe ni mpambe wa Kim? Au je unazijua THAAD au unasema kitu ambacho hujuw..... Na inasemekana NK anatumia Quantum code Communication je Wewe mpambe wa Kim unajua?
 
naona ma leaser ya marekani yanaingia kwenye combat for the first time naona wakimbizi wa N Korea wakikatiza bahari kuomba ukimbizi kwenye nchi za ulaya
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mkuu hizi habari unatoa wapi?muda mfupi uliopita,makam wa Rais wa USA alikuwa na waziri mkuu wa Japan na wamesema njia sahihi ya kumuwajibisha DPRK ni vikwazo zaid vya kiuchumi,kwa maana nyingine hakuna vita,USA kasanda
maneno tu yale ya kumpumbaza
 
Usijali mkuu - marekani anajua ni mbabe mkubwa lakini pia anajua uzito wa maafa na gharama zitakazo mtoka kwa kupigana na Korea kaskazini japo inajulikana mwisho atashinda . korea sio nchi za mashariki ya kati mabazo trump anatoa amri zipigwe wakati anapotaka.
 
Uvamizi wa Marekani chini Korea Kaskazini waamriwa Rasmi. Kabla ya kuingiza aina zingine za Majeshi ambayo yako tayari kwa vita, Pentagon yaamrisha Big 4 Aircraft Carries zilizobeba makomandoo na ndege hatari za kivita zianze kuingia katika bahari ya North Korea mchana wa Leo. Eneo hilo ndilo ambalo Rais Wa North Korea Kim amepaki Majeshi yake ya majini na ikumbukwe Kim alionya kuwa majeshi ya majini ya Marekani pamoja na Meli zao wakae Peninsula ya Korea ila wasithubutu kusogelea kabisa pwani inayomilikiwa na North Korea. Kim alionya kuwa marekani ikithubutu kusogelea Pwani yake basi hatasubiri lolote na atarusha makombora kwa Marekani. Lakini Pentagon imeamuru Aircraft Carriers 4 Kubwa zivamie bahari iliyokatazwa na Kim na pia ndipo yalipo majeshi ya majini ya North Korea.
Aircraft Carriers (Meli kubwa zinazobeba Ndege za Kivita) zilizoamriwa kuingia Korea Kaskazini ni;

1. USS Carl Vinson, yenye tani 97,000 imebeba Makomandoo 5000 na na ndege 63 za kivita. Pia imebeba Guided - Missile Cruiser na Destroyers Mbili

2. USS Wayne E. Meyer, yenye makomandoo 300 na Ndege 60 za kivita

3. USS Michael Murphy, ina makomandoo 366 na ndege 45

4. USS Lake Champlain, iliyobeba Maofisa na Sailors.

NOTE: Aircraft Carriers zilizo nyingi za USA ziko grouped kwa majina ya Makamanda wa Majeshi wa Zamani wa USA na Wanasiasa Mashuhuri wa zamani wa USA.

Pia Marekani ilificha Aircraft Carriers zake kubwa katika bahari ya Singapore. Hapo Singapore kuna Millitary Base kubwa ya Marekani iitwayo Changi Naval Base. Aircraft Carriers hizi zimesheheni ndege za kivita na makomandoo. Zote mchana huu zimeamriwa zitoke bahari ya Singapore kwenye Changi Naval Base zipelekwe bahari ya Korea.
Amri hii ya kuisogelea kabisa na kuizunguka North Korea imetoka Pentagon. Kinachosubiriwa sasa na makomandoo walioko uwanja wa vita ni kupewa Amri Kuu kutoka kwa Commander In Chief (Amiri Jeshi Mkuu) wa USA ambaye ni President Donald J Trump.

NB: Najaribu ku-Upload Videos lakini zinakataa. Nadhani ni Format tofauti

Wakati huo huo tayari mission ya kulinda miji mikubwa ya Korea ya Kusini hasa jiji Maarufu la Seoul imetekelezwa asilimia 90 had Leo mchana. Wanajeshi wa Marekani wakishirikiana na jeshi la korea kusini wamefunga systems mpya za ulinzi kwa jiji la Seoul na kuboresha zilizokuwepo. Lengo ni kuhakikisha jiji la Seoul na miji mingine isiguswe kabisa na shambulizi lolote liwe la roketi, kombora au chochote kile.

Kwa Wachambuzi wa mambo hasa hii vita nadhani washajua lengo hasa ni nin na target ya kuivamia NK ikoje. Hapa NK atachapwa kwa kushtukizwa. Matamshi ya wakuu wa nchi yanatofautiana na Operation Orders zinazotoka Pentagon kwenda kwa Makamanda waliopo uwanja wa vita. Pence Jana akiwa Camp Bonifas amesema wataichapa tu NK, Leo pia anaungana na Prime Minister wa Japan bwana Shinzo Abe kuwa wanafikiria zaidi Vikwazo kwa NK. Jana Trump akiwa White House kwenye sherehe za Easter Egg Roll alisema Kim Gotta Behave. Yan atamchapa muda sio mrefu na akae kimya ashike adabu. Huku pia Pentagon wakiendelea na Mission yao ya kuizunguka vizuri North Korea na Kusogelea kwa ukaribu na tayari Aircraft zimepelekwa. Kilichopo hapo wanamdumaza Kim kwa Matamshi then Kijeshi Operation inaendelea kusonga mbele na watamstukiza kwa kichapo.


ZIADA: Wapo watu wanasema kuwa Kim arushe tu Kombora lolote pale Los Angeles, NY, Washington au Dallas. Jamani ni ngumu mno hilo kufanyika. Marekani ina Defence Systems za balaa kwa ajili ya kulinda miji yote nchi nzima kwa ujumla na uvamizi wa shambulio lolote la kombora au roketi. Teknolojia yao ya kulinda nchi ni kubwa kutoka kwenye uvamizi wa anga au majini kuja kwenye nchi yao. Roketi au kombora lolote huwa detected kabla halijafika kwenye anga lao na kuharibiwa kabisa au kurudishwa kwako. Hicho unachokiwaza wao walishalifikiria miaka 200 iloyopita na kukipatia ufumbuzi. Njia iliyokuwa rahisi kufanya mashambulizi marekani ni kwa njia ya kujitoa muhanga. Yan unaingia nchini kwao kwa kufuata taratibu zote za uhamiaji na ukaguzi then ukafanye mpango wa utekaji au kutafuta mabomu ujilipue na we ufe. Lakini kivita kwa roketi na makombora ni ngumu kwa ajili ya teknolojia yao ya ulinzia wa nchi yao. Lipo jeshi maalumu ambalo kazi yake ni ulinzi wa nchi tu, wapo macho masaa 24 kuangalia satelaiti zote, kuangalia anga lao na mipaka yao.

View attachment 497906
View attachment 497909
View attachment 497910
View attachment 497911
View attachment 497912
View attachment 497914
View attachment 497917
View attachment 497918
View attachment 497920

Nyie watu hivi huwa mnatoa wapi hizi habari???
1. Hakuna kifaa hata moja either carriers or destroyers or kitu chochote cha Marekani ndani ya North Korean waters, hivyo vyote vipo ndani ya Korean Penisula upande wa South Korea. Kuingia katika bahari ya North Korea hiyo ingetosha kuwa declaration of War. So taarifa zako ziweke vizuri.
2. Mike Pence muda si mrefu leo hii alikuwa na Mr Abe, Japanese PM. Wanazungumzia kuhusu kuongeza vikwazo vya kiuchumi kwa NK kama njia ya kidiplomasia haitafanikiwa.
3. Miaka hiyo 200 iliyopita US hakuwa na technolojia yoyote, na kila taifa lilikuwa linafikiria njia za kuwalinda raia wake. So hizo zote ni propaganda eti Marekani alishafikiria hilo miaka 200 iliyopita as if nchi zote zilizobaki zilikuwa kama Tanzania.

Marekani atashinda vita kama itatokea. Ila yeye atapata hasara kubwa sana ukilinganisha na faida atakayopata kwa kumpiga Kim. Yetu macho.
 
Back
Top Bottom