chardams
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 2,439
- 1,734
Mkuu scud si hata Sadam Alikuw nazo? Au umejitoa fyuzi
Kwani umeambiwa anategemea scud?
Kwa taarifa yako NK ana Ballistic missiles ambazo THAAD battery's rada hazijawahi kufanyiwa majaribio ya kuzipangua.
Na ndio maana THAAD radar zilizokuwa SK zilishindwa ku detect bomu lililofanyiwa majaribio tarehe 6 mwezi wa 3