Tujadili hoja, please!!Mdini mkubwa wewe,
Katiba ni sheria mama, na sheria nyingine zinatungwa zifuate Katiba.
Umefosi king tu kuleta mjadala wa kadhi hapa
Mahakama ya kadhi si tayari ipo.
Mnahitaji ukombozi,kwani mnatawaliwa na nani?Iwe...isiwe...tunahitaji ukombozi tumeshanasa tunahitajika kujinasua
Nchi hii wengi wa walio pigania uhuru walikuwa wa dini za asili,si muslims wala Christians,wazee wetu walipambana nawajerumani kwa kuyakataa hayo wakapoteza uhai wao mali zao na nchi yao
Mwalim alikuwa sahih sana kusema dhambi ya ubaguzi mbaya......ndg zangu mnaposikiaMAPINDUZI DAIMA...(2) chamacha mapinduzi kina wenyewe...
mtafakari wanaopinduliwa ni WASWAHILI na imani yao sasa hivi utafurukutia wapi utasemea wapi usikilizwe sisi hatuna thamani ni daraja la watu kuvuka waende watakapo.nina mengi lakini.......
Siwezi kujadili mambo ya kichaa
Si ndio hapo sasa,mahakama waislamu waliruhusiwa waanzishe na kuziendesha wenyewe.
Na rasimu imeelekeza wazi shughuli za uendeshaji dini zitakuwa nje ya shughuli za serikali.
Na siku zote katiba inatungwa kama mwongozo mkuu wa sheria zingine zote zitakazo tungwa.
Sasa sijui hoja ipo wapi!
Mahakama ya kadhi si tayari ipo.
Mnahitaji ukombozi,kwani mnatawaliwa na nani?
Nchi hii wengi wa walio pigania uhuru walikuwa wa dini za asili,si muslims wala Christians,
wao labda ndio wangedai uchifu..
Mwalim alikuwa sahih sana kusema dhambi ya ubaguzi mbaya..
Mara CDM ya wakristo,
mara CCM ya muslims,
sasa CCM ina wenyewe.. Khaa!
Kwa hiyo unatamani tuwe nchi ya utamaduni wa waswahili?