Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 79
Wana jamii
katika mapendekezo ya Rasimu ya Katiba mpya limo suara la raisi kuteua majaji. Sote tumeshuhudia jinsi majaji vihiyo walivyokuwa wanateuriwa na rais pamoja na kwamba kuna tume ya mahakakama inayomshauri Rais katika teuzi za majaji. Kama majaji watendelea kuteuriwa na rais basi tutaendelea kushuhudi muhimili huu ukiendelea kudhibitiwa ipasavyo na mhimili mwingine yaani Selikali kama ilivyo sasa. tukatae pendekezo hili ikiwezekana tuchukue utaratibu wa kuwapata majaji katika katiba ya majirani zetu wakenya.
katika mapendekezo ya Rasimu ya Katiba mpya limo suara la raisi kuteua majaji. Sote tumeshuhudia jinsi majaji vihiyo walivyokuwa wanateuriwa na rais pamoja na kwamba kuna tume ya mahakakama inayomshauri Rais katika teuzi za majaji. Kama majaji watendelea kuteuriwa na rais basi tutaendelea kushuhudi muhimili huu ukiendelea kudhibitiwa ipasavyo na mhimili mwingine yaani Selikali kama ilivyo sasa. tukatae pendekezo hili ikiwezekana tuchukue utaratibu wa kuwapata majaji katika katiba ya majirani zetu wakenya.