Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Hii rasimu ya Katiba naweza kusema ni ya kimapinduzi -- yaani imefumua mfumo mzimo wa utawala ambao CCM waliufanya kama mbeleko yao kubwa ya kujibeba.
Ndiyo, siyo waliitumia tu kung'ang'ania madarakani, lakini pia CCM walikuwa wanaipigia debe sana eti ni the best! Wameumbuka! Utakisifiaje hadi mbinguni kitu kilichokaa kihovyo hovyo tu eti tu kwa sababu inakubeba wewe? CCM haitadumu ndani ya hii katiba mpya!