Inawezekana alianza kazi kwa cheti cha darasa la 7 labda kama dereva au mfanya usafi au mlizi, baadae akataka kujiendeleza ndipo akafoji.Acha uongo umesema amefanya kazi zaidi ya miaka 30 wakati huohuo unasema alifoji miaka 1998. Acha kutudanganya
Mmmh!!Hi wanabodi!!!
Nimepenyezewa ujumbe wa karibu kutoka singida kuwa Katibu Tawala wa Mkoa huo ametoa kusudio la kuwatimua kazi watumishi zaidi ya 20 kwa tuhuma za kufoji vyeti vya kidato cha nne.
Mtoa habari anasema Mama yake ambae ni mtumishi wa zaidi ya miaka 30 katika utumishi wa umma ambaye kabakiza mwaka mmoja kustaafu utumishi wa umma leo amezimia zaidi ya mara tano hivyo kushindwa kabisa kupeleka barua ya maelezo kwa RAS ya kwanini asichukiliwe hatua za kinidhamu.
Mods Habari hii ni ya kweli kabisa kama mtathibisha ni habari ya uongo kuhusu RAS kutoa notice YA kuwachukulia hatua za kinidhamu waliofoji nipigwe BAN KABISA
Kwakweli ni kilio cha ukoo kimetamalaki kijana aliyenipa ujumbe kwasasa upo safarini kutoka UDSM kwenda kumpa Mama yake matumaini ya kuishi tena. kijana amesema ni kweli mama yake alifoji vyeti miaka ya 1998 hivyo kumfanya kupata mafunzo ya certificate na badae Diploma ambayo anaitumikia kwa kufanya kazi katika taasisi nyeti mpaka sasa.
Kijana amesema akifika usiku huu nyumbani kwao atatumia barua ambayo mama yeke amepewa na mwajiri wake na utetezi ambao mama yake ameutoa lakini ameshindwa kuuwasilisha hadi sasa baada ya kuzimia mara kadhaa.
Mods: habari hii ni ya kweli kabisa kama mkichunguza na kukuta kuna uongo nipigwe BAN aidha baadhi ya watumishi waliokumbwa na kadhaa hii wengi wao kwasasa ni wazee wa miaka 50 mpaka 58 wanaomba msaada wa waandishi na wanasheria
Yaani badala ya Makonda kuonyesha vyeti, kumbe ni Gwajima anatakiwa kuleta vyeti? Vya nini?Kama amefoji na ushahidi upo dhahiri what do you expect. Kama utetezi hauna mashiko unafikiri ni nini njia mbadala
Unafikiri ukiteguka mguu kwenye mstari wa kurukia kiunzi ndio sababu ya kukupa ushindi?
Mwambieni mchungadomo wenu gwajima alete vyeti vya Makonda sio kuimba taarabu kanisani
Ungesoma ukaelewa ungeona sources ila kwa ubashite wako hujaona rudia kusoma swine!?Weka source
[HASHTAG]#DAUDIBASHITE[/HASHTAG]CC: Malaika Mkuu
Unapodai unaushahidi wa vyake kwa nini usivitoe hadharani kuondoa ubishi kama ambavyo umepata kiburi cha kutuhumu?Yaani badala ya Makonda kuonyesha vyeti, kumbe ni Gwajima anatakiwa kuleta vyeti? Vya nini?
wapige kimya like bashiteHi wanabodi!!!
Nimepenyezewa ujumbe wa karibu kutoka singida kuwa Katibu Tawala wa Mkoa huo ametoa kusudio la kuwatimua kazi watumishi zaidi ya 20 kwa tuhuma za kufoji vyeti vya kidato cha nne.
Mtoa habari anasema Mama yake ambae ni mtumishi wa zaidi ya miaka 30 katika utumishi wa umma ambaye kabakiza mwaka mmoja kustaafu utumishi wa umma leo amezimia zaidi ya mara tano hivyo kushindwa kabisa kupeleka barua ya maelezo kwa RAS ya kwanini asichukiliwe hatua za kinidhamu.
Mods Habari hii ni ya kweli kabisa kama mtathibisha ni habari ya uongo kuhusu RAS kutoa notice YA kuwachukulia hatua za kinidhamu waliofoji nipigwe BAN KABISA
Kwakweli ni kilio cha ukoo kimetamalaki kijana aliyenipa ujumbe kwasasa upo safarini kutoka UDSM kwenda kumpa Mama yake matumaini ya kuishi tena. kijana amesema ni kweli mama yake alifoji vyeti miaka ya 1998 hivyo kumfanya kupata mafunzo ya certificate na badae Diploma ambayo anaitumikia kwa kufanya kazi katika taasisi nyeti mpaka sasa.
Kijana amesema akifika usiku huu nyumbani kwao atatumia barua ambayo mama yeke amepewa na mwajiri wake na utetezi ambao mama yake ameutoa lakini ameshindwa kuuwasilisha hadi sasa baada ya kuzimia mara kadhaa.
Mods: habari hii ni ya kweli kabisa kama mkichunguza na kukuta kuna uongo nipigwe BAN aidha baadhi ya watumishi waliokumbwa na kadhaa hii wengi wao kwasasa ni wazee wa miaka 50 mpaka 58 wanaomba msaada wa waandishi na wanasheria
Yeye katuhumu, na hapo kamaliza. Kama kuna ambaye anafikiri imemgusa sana anatakiwa akamshitaki Gwajima kwa kumdhalilisha Makonda. Hapo ndipo Gwajima atalalamika kupeleka vyeti kama ushahidi wa tuhuma alizotoa. Otherwise, halazimiki kuonyesha hivyo vyeti (kama kweli anavyo) unless ametakiwa kufanya hivyo kisheria.Unapodai unaushahidi wa vyake kwa nini usivitoe hadharani kuondoa ubishi kama ambavyo umepata kiburi cha kutuhumu?
HUWA WAKATILI BALAA NA KAZI HAWANA UWEZO NAZO HUO NI UKWELI.YALISHA WAHI KUNIKUTA KUWA NA BOSI KIMBELEMBELE KUMBE MI VYETI SI YAKE ANATAKA KUINGILIA HADI SHUGHULI ZA KITAALAMU!!!Haiwezekani wengine tupige umande, afu tutukanwe tumetumwa na kijiji afu waliokuwa wanatutukana wafoji vyeti waendelee kututukana, haiwezekani! Afu usiombe ukutane na bosi kafoji vyeti afu akutane na cv yako imenyoka, utamkomaje!!!!!!
Kupitia Bashite, ikulu imeidhinisha matumizi ya vyeti feki kwa watendaji wa umma.Bashite naye vipi