Raising Notification Fee from 20,000/- to 300,000/-

HansMaja

Senior Member
Nov 9, 2010
102
114
This is dangerous especially for a corrupt police department like ours. Huu ni ulaji wa polisi wetu na itawaumiza wanaofanya biashara ya daladala ambao ni wabangaizaji tu
 
I.
I. Sheria Sheria ya Usalama Barabarani, SURA168
84. " Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani, Sura, 168 ili kuongeza ukomo wa kiwango cha faini inayotozwa kwa kufanya makosa wakati wa uendeshaji gari barabarani (Traffic Notification Fee) kutoka shilingi 20,000 hadi shilingi 300,000"

UBISHIIII TUUUUUUUUUU!!!
 
I.
I. Sheria Sheria ya Usalama Barabarani, SURA168
84. " Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani, Sura, 168 ili kuongeza ukomo wa kiwango cha faini inayotozwa kwa kufanya makosa wakati wa uendeshaji gari barabarani (Traffic Notification Fee) kutoka shilingi 20,000 hadi shilingi 300,000"

UBISHIIII TUUUUUUUUUU!!!

Kwa masikio yangu nimesikia ni 50,000
 
Amesema 50000 na ni hivyo hivi kwann watu mnapenda kusema ulichoambiwa kuliko ulichosikia?
 
This is dangerous especially for a corrupt police department like ours. Huu ni ulaji wa polisi wetu na itawaumiza wanaofanya biashara ya daladala ambao ni wabangaizaji tu

Ingekuwa bora kama waziri angejielekeza kuona kuwa hizo fedha zinafika kunakotakiwa. Mara nyingi watu hulipa notification lakini hawapewi ERV ikiwa na maana kuwa hela zinaingia kwa wajanja.

Tujiulize kwa nini polisi wa usalama wanawalizimisha watu walipie notification kwenye kituo
Wanaposhikwa ilhali sheria iko wazi kuwa una haki kulipa katika wiki moja katika mahakama au kituo chochote cha polisi.

Lengo la notification lilikuwa kupunguza msongamano wa mashauri mahakamani kwa kuwafanya watu wakubali makosa mbele ya askari wa usalama barabarani na kulipa faini bila kwenda mahakamani.

Kwa mantiki hii ni makosa madogo ndio yakaingizwa kwenye notification. Sasa kupandisha faini za notification kuwa juu kuliko faini za makosa makubwa inadefeat the whole purpose ya kuwa na notification.

Ukichukulia makosa ya baiskeli na pikipiki ina maana kuwa ni afadhali uache hiyo baiskeli kituoni na kununua nyingine kuliko kulipa laki tatu. Kwa pikipiki makosa matatu ni bei ya pikipiki moja.

Waziri na washauri wako rudini kwenye drawing table, either mmekosea big time au mnajitengenezea EPA nyingine.
 
Ukisoma bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2011/12 inasomeka hivi .... 84. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani, Sura, 168 ili kuongeza ukomo wa kiwango cha faini inayotozwa kwa kufanya makosa wakati wa uendeshaji gari barabarani (Traffic Notification Fee) kutoka shilingi 20,000 hadi shilingi 300,000.
lakini cha kushangaza waziri amesema ni sh 50,000/- hii kali kweli kweli.... nilimsiki kwa masikio yangu!!
 
maneno siyo permanent record kama kilichoandikwa.
Hivyo kilichoandikwa ndicho sahihi zaidi.
Si unajua mkulo anajua waTZ (na wabunge walio wengi) ni wavivu wa kusoma? hivyo yawezekana alitamka hicho kiasi kidogo ili msimshambulie, ili mkifika kwenye utekelezaji mshambuliane na polisi - wawatwange 'risasi'
Kama hatafanya marekebisho yoyote kwa maandishi, then notification fee amependekeza shs 300,000
 
Ukisoma bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2011/12 inasomeka hivi .... 84. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani, Sura, 168 ili kuongeza ukomo wa kiwango cha faini inayotozwa kwa kufanya makosa wakati wa uendeshaji gari barabarani (Traffic Notification Fee) kutoka shilingi 20,000 hadi shilingi 300,000.
lakini cha kushangaza waziri amesema ni sh 50,000/- hii kali kweli kweli.... nilimsiki kwa masikio yangu!!
Labda ni typing error,tutasikia wakati wa kuijadili ukweli ni upi? hata hivyo ulaji kwa traffic umeshaanza kwani hivi sasa ukitanua ni rumande na kesho yake mahakamani,ukikosa fine unakula miezi 3-6! sasa hapo lazima utoe rushwa nono
 
Alisema toka 20000 kwenda 50000 na tena nilikuwa na askari wakatabasamu>
Hope alisoma kilichoandikwa!
 
Back
Top Bottom