Raisi mmoja wa Africa atakufa hivi karibuni - TB Joshu

jaman me naomba kuuliza,kwani utabiri ni uchawi?au wanaotabiri wanakuwa wachawi?

Swali zuri mkulu......
Watabiri wooote ni wachawi...... kwa maana wanashirikiana na Mashetani kueleza mambo ambayo yatatukia baadaye.....

Na ndiyo maana Mungu aliwaambia Wanawaisraeli kuwa asiwepo mtu yeyote anayetabiri kati kati yenu......

Halafu pia kuna kisa cha mtume Paulo kuhusu msichana fulani aliyekuwa akitabiri...... Soma Matendo mlango wa 16 kuanzia aya ya 15 na kuendelela..... utaona jinsi mapepo yanvyo tumika kubashiri mambo yajayo..... kwa hiyo hata huyo mtabiri wao anatumia nguvu za shetani....
 
Viongozi wengi wa afrika ni wagonjwa, hata Mwanaasha anaweza kutabiri kifo kwa uhakika, haiitaji akili au upako.
 
Akifa huyu Mchungaji tapeli JB Joshua katika siku hizi sitini itakuwa kiboko yake. Kwani yuko wapi Sheikh Yahya Hussein kwa hivi sasa?
 
Aahhhhhhhhh, nimeshakusoma; si unamaanisha baba wa yule binti aliyepata daraja la pekeyake kutoka katika shule iliyomtoa mshindi wa mwaka huu?!.
kama kweli basi awe baba nanilihi huyu aaaah baba R ili 2pumzike jaman khaaaa
 
dah ndo yamekuwa haya

Nimeipenda hii

Lakini kumbuka TB Jushua ametabiri mengi hata mgomo wa Nigeria wa majuzi alitabiri miaka mitatu iliyopita na mwaka jana mwezi wa 11 alisema umekaribia na ikawa hivyo hivyo. Katabiri mengi sana kabla huja mpinga tumia muda kumfuatilia kisha njoo ummpinge
 
Swali zuri mkulu......
Watabiri wooote ni wachawi...... kwa maana wanashirikiana na Mashetani kueleza mambo ambayo yatatukia baadaye.....

Na ndiyo maana Mungu aliwaambia Wanawaisraeli kuwa asiwepo mtu yeyote anayetabiri kati kati yenu......

Halafu pia kuna kisa cha mtume Paulo kuhusu msichana fulani aliyekuwa akitabiri...... Soma Matendo mlango wa 16 kuanzia aya ya 15 na kuendelela..... utaona jinsi mapepo yanvyo tumika kubashiri mambo yajayo..... kwa hiyo hata huyo mtabiri wao anatumia nguvu za shetani....

SWALA LA KUJIULIZA HAPA: Kama Shetani anaweza kuwapa wachawiuwezo wakutabri je MUNGU hawezi kuwapa uwezo wamchao wakatabiri?
 
SWALA LA KUJIULIZA HAPA: Kama Shetani anaweza kuwapa wachawiuwezo wakutabri je MUNGU hawezi kuwapa uwezo wamchao wakatabiri?

Watu wengi imani yao ni kwa shetani tu, wanamwaza shetani, wanamwogopa shetani, wanamuona shetani tu ktk kila jambo!
Kwao shetani ni mkubwa sana.
 
Humu watu wenye majina ya Kikristo na wanadai wamebatizwa and they profess to be christians are many... hivi kama shetani (Ina maan una amini yupo) anweza kuwapa watu uwezo (watumishi wake) kutabiri, why not God kuwapa uwezo huo watu wake wamchao? Ndiyo yale yale.. mabaya yoote ajali, matetemeko ya ardhi nk Mungu kapenda, unabii au mgonjwa kaombewa na anadai kapona na Madaktari wamethibitisha.. Mapepo na kazi za shetani... Jamani JF kuna viumbe vya ajabu saana!!
 
Ni nani huyo? (wengine wameshaanza kumtaja Mugabe!)

Mchungaji wa kinaigeria TB Joshua atabiri kuna kiongozi wa Africa atakayefariki katika siku sitini zijazo!

By Wonai Masvingise and Thelma Chikwanha
HARARE – Reports that Temitope Balogun Joshua, a Nigerian prophet using the name TB Joshua, has foretold the death of an African president soon have raised debate in many African countries including Zimbabwe where ageing presidents are still in power.
tb-joshua.jpeg

Temitope Balogun Joshua


TB Joshua, whose prophecies have often come to pass, reportedly made the shocking prophecy during a Sunday service this week, according to several online reports.

A Zambian website Tumfweko.com claimed that TB Joshua prophesied this message during a Sunday live service broadcast on his Christian television channel Emmanuel TV on Sunday, which they monitored.

A Malawian website Nyasatimes.com also carried the story yesterday. TB Joshua is the leader of the Synagogue Church of All Nations (Scoan), based in Nigeria.

Joshua, who commands a large following in Nigeria and beyond, said an African leader would die within 60 days. He failed to hint on the location of the leader, leaving wild guesses to fly around.

"God loves us, you should pray for one African head of state, when I say President… again the sickness that is likely to take life; sudden death, it could be sickness being in the body for a long time but God showed me the country and the place but I'm not here to say anything like that."

"When it's too close and there is nothing I can do about it, I'll mention it clear; the place, the country and the person so that they can see what they can do to rescue him. Okay, it is very close. Jesus loves us. Wave your hand, wave your hand," TB Joshua was quoted as saying by the online publications.


Sleeping on the Job: Robert Mugabe

His prophecy immediately attracted the attention of Zimbabweans who began posting their own conclusions on social networking sites such as Facebook.

Zanu PF spokesperson Rugare Gumbo, whose leader President Robert Mugabe was the subject of unsavoury facebook postings following the "prophesy", refused to comment.


Malizia kusoma hapa!

Testing Prophets

We should welcome prophecies, but they should always be tested.
Do not put out the Spirit's fire; do not treat prophecies with contempt. Test everything. Hold on to the good. Avoid every kind of evil (1 Thes 5:19-22).

Living with Imperfection
There are no perfect prophets. There are very few perfect prophecies. I would expect that even experienced prophets get it wrong sometimes. I suspect that most prophets would be very happy, if they got it right 90 percent of the time. An even larger percentage of prophecies from God will be slightly contaminated by something the prophet has added from his own heart. This is normal even for experienced prophets, because all prophets are human.

The solution is not to reject all prophecy, but to test all prophecy. Even if a word comes from a "big name" prophet, we should not assume that it is correct. Christians often feel guilty about rejecting a word, because it came from a well-known prophet. They should remember that prophets with big reputations will still be wrong at times. In fact, because there is more pressure on them to prophesy, they will make more frequent mistakes. There is no shame in rejecting their prophecy, if it is tested and found to be incorrect.

There are no perfect prophets. Even the Old Testament prophets got things wrong at time. God allows his prophets to make mistakes to keep them humble and to prevent the church from becoming too dependent on them. We must become more relaxed and comfortable in dealing with impure and incorrect prophecies, so that they can be discarded without drama. As we get better at testing prophecies, we will get better at calmly saying, "That was not from God" or "He missed the bus there", without feeling guilty.

We must also learn to reject prophecies without killing the prophet. The church should accept a mistake as a reminder that all prophets are human. The prophets should be glad to hear about their mistakes, so they can learn from them.
Prophets (must) humbly accept the truth that they see through a glass darkly, that they know only in part. In other words, they make mistakes. Mature prophets urge everyone to who they prophesy to judge, test and compare with scripture everything they say. They are not offended when people are careful (Stephen L Mansfield – Pastoring the Prophetic).

Testing prophecies
The Bible gives a number of principles for testing a prophecy.
  1. 1 Cor 14:4 - It must build up the body.
  2. 2 Tim 3:16 - It must agree with Scripture.
  3. John 16:13,14 - It must exalt Jesus.
  4. Deut 18:22,22 - It must come true.
  5. Deut 13:1-5 - It must lead to God and obedience to him.
  6. Rom 8:15 - It must produce liberty
  7. 2 Cor 3:6 - It must produce life.
  8. 1 John 2:27 - It must be attested to the Holy Spirit in each believer.
All prophecies should glorify and honour Jesus.
At this I fell at his feet to worship him. But he said to me, "Do not do it! I am a fellow servant with you and with your brothers who hold to the testimony of Jesus. Worship God! For the testimony of Jesus is the spirit of prophecy" (Rev 19:10).
Sometimes it is hard to test a prophecy. A word may seem to be okay, but it may take time before it is fulfilled. Some words of encouragement are consistent with scripture and hard to prove wrong. In these situations, testing of prophets may be more helpful.

Reliable Prophets
Testing individual prophecies can often be difficult. What every Church needs is a prophet who has a proven track record, a person who is known for speaking the word of the Lord. It is easier to test prophets than individual prophecies. A prophet can be watched over time to see if his life is bearing fruit for the Lord (Matthew 7:15-20). Every church needs a proven prophet who can be trusted to bring a reliable word when one is required.

Judge the spirit of the prophecy before you judge the truth of the word (Graham Cooke).
The restoration of the prophetic ministry was one of the most urgent needs of the modern church. The danger is, that in time of need, God's people will accept second best. We must not accept every person who claims to be a prophet, but test them to discover those that are sent by the Lord. If the church is to release prophets into their full ministry, it must learn to recognise those who are truly called by God.

We need words from heaven. Too many words come from the human heart and not from heaven. God wants prophets who will bring words from heaven that will change things on earth (Terry Collins).
The body of Christ needs to mature until we can distinguish a true prophetic word from merely the word of a prophet. Many modern Christians are afraid to reject anything spoken by one who claims to be a prophet or prophetess (Iverna - Tompkins - Advancing in the Prophetic).

Jesus warned that false prophets and deceivers would come upon the earth, and that even some of the elect would be deceived by them (Mark 13:22,23). False prophets have been present in the world in every age, but they are particularly common in times of tumult like our present age. We have seen a great outburst of prophetic activity, with all kinds of individuals and cults claiming to have the truth. In this situation the church not only needs prophets who speak God's truth, but must also learn to discern the true from the false. Whenever God releases a particular gift in the world, Satan tries to release a counterfeit of that gift. We can be sure that as God restores the prophetic ministry, Satan will try and raise up false prophets.
There is often a prophetic word in the words of a prophet, but not everything said is true prophecy (Iverna - Tompkins - Advancing in the Prophetic).
The Bible gives a number of tests for discerning true prophets from those who are false. All Christians should become familiar with them.

Now, when we are told that a president is going to die, so what! Does it glorify God? According to the post, it is said that TB Joshua's prophesy are often come to pass but the question is to whom is the Glory. I don't think saying an African president will die is Glorifying God…By the way, if he dies, so what! And remember, in the Old Testament the prophecy was to warn and direct the people as well as encouraging them. But I don't know which category Joshua's prophecy fall. He has asked his people (Congregation) to pray, but which prayer, because most of the time when he tells his congregation to pray, in my understanding they are asking God to change his plan on the issue, to forgive if there was a sin but it is unfortunate that Joshua's prayer doesn't change anything! The thing will happen and when it happen, you will watch on his TV his reporter telling us you see, the man of God prophesied on a such issue and it has happen.

Now if that is the case, then is he telling his people to pray! Why praying to ask God to take the thing away! If the case was to happen then there was no need to tell us or the congregation that something is going to happen so let us pray in order to reverse it! Honestly in such situation there was no need and I repeated, there was no need the congregation to pray. And why are they praying by the way!
 
Unaishi karne gani wewe? Mwenye uwezo wakujua nani atakufa ni mungu pekee,huyo hana lolote,kweli wajinga ndio waliwao!FF

kiswahili kigumu kwa mswahili jamani
kuna utofauti ya kutabiri na kupanga,nan kakwambia ujuz wa mola kwenye kifo ni utabiri? Mola kapanga! ,ila uyu jamaa ametabiri/guess/probability/otea etc..So it myt hapen or not,anza kujifunza hizo phrase na UTABIRI wa hali ya hewa na MAANDIKO ya kitabu takatifu
 
kila mtu anajua mugabe mgonjwa

na zaidi Mandela pia ni mgonjwa.....

vitu vingine havihitaji utabiri.....

ni masifa tu.....
nani alikudanganya kwamba ukiwa mgonjwa ndio unakufa utashangaa wanakufa wengine wanawaacha hao unaowasemea
 
Acheni kumchulia rais bana..

Sio kumchulia ni bora akafa tu kwani analiweka taifa pabaya.
Afu ukiacha cost anazoziingiza taifa kwa kusafiri sana, pia gharama ya kumtibu kila mara (anapokwenda ku change blad) ni kubwa mno!
Costs>outputs, hatuwezi fika kwa staili hii.
 
kila mtu anajua mugabe mgonjwa

na zaidi Mandela pia ni mgonjwa.....

vitu vingine havihitaji utabiri.....

ni masifa tu.....

Nakubaliana na wewe mkuu. Kwa watu wenye kuugua cancer-terminal technology inaweza kabisa kusaidi kujua muda uliobaki kabala organs zote hazijafeli. Sasa huyu nabii anaweza akawa amepata fail la mtu lakini anajidai kuwa yeye anatabiri. Kama ni kutabiri kwa nini asiseme jina, siku, saa, na hata dakika? Hivi huyu nabii alitabiri nini kuhusu boko haram?
 
kila mtu anajua mugabe mgonjwa

na zaidi Mandela pia ni mgonjwa.....

vitu vingine havihitaji utabiri.....

ni masifa tu.....

Mbona unamtaja Mugabe tu kuwa ndio Rais mgonjwa peke yake? Huko kuanguka anguka kwa mkweree we unadhani sio ugonjwa?
 
alishatabiri kifo cha leader wa north korea na ikawa hivyo
so lolote lawezekana
 
alishatabiri kifo cha leader wa north korea na ikawa hivyo
so lolote lawezekana

Unachosema ni kweli mkuu. Lakini, bora atangulie huyu 'handsome' wetu, kwa sababu inavyoonekana amekua sio 'chaguo la mungu' tena.
 
Back
Top Bottom