Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Rais wa Africa kusini Jacob zuma amewafukuza kazi mawaziri watatu wa fedha ndani ya wiki moja na kuteua mwingine huko ndiko kutumbumbua majipu halisia
Rais zuma amefanya hivyo baada ya fedha ya nchi hiyo kupoteza dhamani dhidi ya dolla ya marekani.
Rais zuma amefanya hivyo baada ya fedha ya nchi hiyo kupoteza dhamani dhidi ya dolla ya marekani.