Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
hakuna msaada wa Bure! Hii ni ishara dhahiri ya kuukubali ukoloni mambo leo na utumwa wa fikra. Kial hotuba unayotulete Mheshimiwa unatueleza sifa zako za jinsi unavyojua kuomba na kiasi ulichopata. ninajiskia kudhalilikia kabisa na fedheha. Je washauri wako hawakudokezei hali ilivyo huku mtaani? Hawakwambii mambo tunayotaka kusikia?
Je ni kwa kiasi gani serikali imeweza kukushanya mapato, na ina mikakati gani ya kuwa na mapato ya kukidhi haja bila kuwa na pengo katika bajeti? Na je ni mkakati gani serikali yako inao utakaotupunguzia kero ya misaada. na je kweli hiyo misaada mfano zile fedha ulikuwa unatueleza zianatoka bank ya Afirka ni bure tu au ndo unatuachia madeni?
Kila siku tunasikia unatuambia tumevuka malengo ya kukusanya kodi hii inamaanisha nini? Inaweaje kwenda sambamba na kuongezeka kwa misaada badala ya kupungua? Hii ni aibu kweli kweli mheshimiwa dah, unaonaje hata kama umepata fedha hizo kwa kuomba ukatafuta namna ya kuizzungumzia, mfano ukaeleza mipango ya serikali iliyonayo an inavyoitekeleza. Na mwisho bila kutaja moja kwa moja ukawashukuru wahisani wanaochangia maendeleo badala ya kuweka picha ya serikali kuwa ombaomba dah!
Hotuba yako haijatulia, kwa sasa ni kipindi cha kubadilisha mwandishi wa hotuba zako na kuhakikisha zina mvuto na zinakuwa sensitive enough kwa maswala yalivyo sasa. Sifurahiwi na jinsi unavyowasilisha zimepoa sana saaana na mambo mengine kama hayo ya misaada yanawasilishwa vibaya hayailetei serikali yako sifa huo ndio ukweli.
Je ni kwa kiasi gani serikali imeweza kukushanya mapato, na ina mikakati gani ya kuwa na mapato ya kukidhi haja bila kuwa na pengo katika bajeti? Na je ni mkakati gani serikali yako inao utakaotupunguzia kero ya misaada. na je kweli hiyo misaada mfano zile fedha ulikuwa unatueleza zianatoka bank ya Afirka ni bure tu au ndo unatuachia madeni?
Kila siku tunasikia unatuambia tumevuka malengo ya kukusanya kodi hii inamaanisha nini? Inaweaje kwenda sambamba na kuongezeka kwa misaada badala ya kupungua? Hii ni aibu kweli kweli mheshimiwa dah, unaonaje hata kama umepata fedha hizo kwa kuomba ukatafuta namna ya kuizzungumzia, mfano ukaeleza mipango ya serikali iliyonayo an inavyoitekeleza. Na mwisho bila kutaja moja kwa moja ukawashukuru wahisani wanaochangia maendeleo badala ya kuweka picha ya serikali kuwa ombaomba dah!
Hotuba yako haijatulia, kwa sasa ni kipindi cha kubadilisha mwandishi wa hotuba zako na kuhakikisha zina mvuto na zinakuwa sensitive enough kwa maswala yalivyo sasa. Sifurahiwi na jinsi unavyowasilisha zimepoa sana saaana na mambo mengine kama hayo ya misaada yanawasilishwa vibaya hayailetei serikali yako sifa huo ndio ukweli.