Rais wa Yanga, Eng. Hersi amelipa Tsh. Milioni 40 kununua tiketi za mchezo wa leo

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,023
144,381
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Msemaji wa Yanga, Ally Kamwe ambae anasema Raisi huyo wa Yanga aliamua kufanya hivyo kuondoa usumbufu na pi imesaidia kukabiliana na zile njama/mbinu za kupandisha viingilio katika hii mechi.

Ally Kamwe amesema haya wakati akihojiwa baada ya mechi kwisha.
 
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Msemaji wa Yanga, Ally Kamwe ambae anasema Raisi huyo wa Yanga aliamua kufanya hivyo kuondoa usumbufu na pi imesaidia kukabiliana na zile njama/mbinu za kupandisha viingilio katika hii mechi.

Ally Kamwe amesema haya wakati akihojiwa baada ya mechi kwisha.
Amefanya jambo la kheri sana
 
1694896369224.png
 
Back
Top Bottom