Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Anaitwa Yahya Mnung'a yuko clauds tv kwa sasa.
Kaulizwa papai linaweza kuwa na corona
Majibu: papai haliwezi kuwa na corona ila linaweza kuwa aliyelipeleka alilitoa wapi na limepitia katika mikono ya watu gani.
Swali: je maabara yetu inaweza kuwa na hujuma na wataalamu hewa?
Majibu: maabara yetu ni ya kimataifa na inawataalam labda kama vifaa vilivyokuja ndio tatizo kwa sababu vifaa vyote vinatoka nje ya nchi
Kaulizwa papai linaweza kuwa na corona
Majibu: papai haliwezi kuwa na corona ila linaweza kuwa aliyelipeleka alilitoa wapi na limepitia katika mikono ya watu gani.
Swali: je maabara yetu inaweza kuwa na hujuma na wataalamu hewa?
Majibu: maabara yetu ni ya kimataifa na inawataalam labda kama vifaa vilivyokuja ndio tatizo kwa sababu vifaa vyote vinatoka nje ya nchi