Rais wa Tanzania 2030, kipaumbele chako kiwe mipango miji

Kusema kweli kwa asilimia 98 nina amini bila shaka kuwa Jamii kubwa ya Watanzania wana mtindio wa ubongo, yaaani hawawezi kuwaza na kufikiri vizuri.

Jambo kuu linalonifanya kuamini hivi ni kwa namna ninapotembea mikoa mbalimbali nchini na kuona jinsi wananchi wanavyojenga bila mpangilio na wala Serikali haipo serious kusisitiza mipango miji.

Sehemu kubwa ya Tanzania naweza kusema asilimia 75- 80 imejengwa bila kuzingatia mipango miji na kupangwa. Ukitembea mikoa mingi ikiwa sehemu zinazojulikana kama majiji mfano Mbeya, Mwanza, Dar es Salaam na Arusha sehemu kubwa imejengwa bila kuzingatia mipango miji pamoja na kupagwa hivyo kupelekea miji yetu kutopendeza na kuwa kama majalala ya takataka.

Kwa Rais ajaye wa 2030, awe yeyote yule naomba hotuba yake ya kwanza azungumzie jambo hili kama moja ya vipaumbele vyake vikuu.

Aje na mpango kabambe wa kubomoa na kujenga upya Majiji yote ya nchi hii ambayo yamejengwa vibaya bila mpangilio.

Kwenye hili kwanza aanze kwa kujenga nyumba mpya kwa mtindo wa flats kwenye maeneo mapya yaliyopangwa vizuri na kuhamishia wananchi walio katika maeneo yaliyojengwa vibaya/ hovyo kwa kutozingatia mipango miji. Wananchi hawa watakapohamishiwa katika nyumba hizo wawekewe mpango wa kulipia ili kununua hizo nyumba kwa kipindi fulani ili kurudisha gharama za ujenzi tu. Akimaliza kulipa anamilikishwa. Hata kama akifariki familia yake itaendelea kulipa na ikimaliza itamilikishwa.

Pili, kwa kundi la wale wanaojiweza, yapangwe na kupimwa maeneo ambayo watapewa viwanja bure kwa kujiandikisha na kupewa utaratibu wa kujenga. Hawa wajenge kutokana na plan ya eneo husika na wakimaliza kujenga wataanza kulipia gharama za viwanja vyao pamoja na kodi.

Tatu, kupangwe na kupimwa maeneo kwa ajili ya makampuni kujenga na kuuza nyumba za makazi na biashara. Kwenye maeneo haya makampuni yapewe bure, yajenge nyumba kwa standards tofauti na kuanza kuziuza. Kuwe na exemption ya kodi katika kujenga na kuziuza hizi nyumba.

Nina uhakika haya yakifanyika, ndani ya miaka 10-15 nchi yetu yote itakuwa imepangwa na kujengwa vizuri sana hivyo kuondoa hii aibu ya kuonekana kama nchi nzima ni majinga, hatuwazi wala kufikiri vizuri.

Tuna uwezo wa kufanya hivi na tukaendelea na shughuli nyingine za maendeleo bila shida kabisa.

Kupanga ni kuchagua. Rais wetu wa 2030. Naweka huu uzi inshallah nikiwa hai 2030 nitaufufua.
Atafika?
 
Kusema kweli kwa asilimia 98 nina amini bila shaka kuwa Jamii kubwa ya Watanzania wana mtindio wa ubongo, yaaani hawawezi kuwaza na kufikiri vizuri.

Jambo kuu linalonifanya kuamini hivi ni kwa namna ninapotembea mikoa mbalimbali nchini na kuona jinsi wananchi wanavyojenga bila mpangilio na wala Serikali haipo serious kusisitiza mipango miji.

Sehemu kubwa ya Tanzania naweza kusema asilimia 75- 80 imejengwa bila kuzingatia mipango miji na kupangwa. Ukitembea mikoa mingi ikiwa sehemu zinazojulikana kama majiji mfano Mbeya, Mwanza, Dar es Salaam na Arusha sehemu kubwa imejengwa bila kuzingatia mipango miji pamoja na kupagwa hivyo kupelekea miji yetu kutopendeza na kuwa kama majalala ya takataka.

Kwa Rais ajaye wa 2030, awe yeyote yule naomba hotuba yake ya kwanza azungumzie jambo hili kama moja ya vipaumbele vyake vikuu.

Aje na mpango kabambe wa kubomoa na kujenga upya Majiji yote ya nchi hii ambayo yamejengwa vibaya bila mpangilio.

Kwenye hili kwanza aanze kwa kujenga nyumba mpya kwa mtindo wa flats kwenye maeneo mapya yaliyopangwa vizuri na kuhamishia wananchi walio katika maeneo yaliyojengwa vibaya/ hovyo kwa kutozingatia mipango miji. Wananchi hawa watakapohamishiwa katika nyumba hizo wawekewe mpango wa kulipia ili kununua hizo nyumba kwa kipindi fulani ili kurudisha gharama za ujenzi tu. Akimaliza kulipa anamilikishwa. Hata kama akifariki familia yake itaendelea kulipa na ikimaliza itamilikishwa.

Pili, kwa kundi la wale wanaojiweza, yapangwe na kupimwa maeneo ambayo watapewa viwanja bure kwa kujiandikisha na kupewa utaratibu wa kujenga. Hawa wajenge kutokana na plan ya eneo husika na wakimaliza kujenga wataanza kulipia gharama za viwanja vyao pamoja na kodi.

Tatu, kupangwe na kupimwa maeneo kwa ajili ya makampuni kujenga na kuuza nyumba za makazi na biashara. Kwenye maeneo haya makampuni yapewe bure, yajenge nyumba kwa standards tofauti na kuanza kuziuza. Kuwe na exemption ya kodi katika kujenga na kuziuza hizi nyumba.

Nina uhakika haya yakifanyika, ndani ya miaka 10-15 nchi yetu yote itakuwa imepangwa na kujengwa vizuri sana hivyo kuondoa hii aibu ya kuonekana kama nchi nzima ni majinga, hatuwazi wala kufikiri vizuri.

Tuna uwezo wa kufanya hivi na tukaendelea na shughuli nyingine za maendeleo bila shida kabisa.

Kupanga ni kuchagua. Rais wetu wa 2030. Naweka huu uzi inshallah nikiwa hai 2030 nitaufufua.
Mipangomiji???!!????
Mbona tumeshachelewa sana.Kwa hatua ya ujenzi holela tulipofikia tumefika stage ya "Point of No Return", Mipangomiji ktk nchi hii haiwezekani tena milele.
 
Mleta mada akili huna asilimia 80 ya watanzania wanaishi vijijini na asilimia 80 ya wapiga kura uchaguzi mkuu wanaishi vijijini hao wa mjini ni asilimia 20 tu kiushindi wa uchaguzi mkuu hiyo agenda Yako dhaifu mno kura ni ku jali walio wengi
 
Mipangomiji???!!????
Mbona tumeshachelewa sana.Kwa hatua ya ujenzi holela tulipofikia tumefika stage ya "Point of No Return", Mipangomiji ktk nchi hii haiwezekani tena milele.
Inawezekana.
Kwanza tunaanza na kuelimisha wananchi kuanzia mtaani, kwamba lazima kila ujenzi Uwe na barabara yenye upana usiopungua mita 10 na eneo la miundombinu mingine hata kama eneo halijapimwa na serikali.
Upimaji Uwe ni huduma kwa wakazi na wamiliki badala ya fikra za mapato kwa serikali.
Pili kuhakikisha uendelezaji wowote wa ardhi kuanzia sasa unakuwa na mpangilio mzuri kupitia elimu hiyo.
Changamoto ni mamlaka husika kutokuwa na uwezo wa kufanya wajibu wake kulingana na mahitaji ya wakati husika.
Tatu, kuwe na mipango endelevu ya uboreshaji wa maeneo yaliyojengwa holela kwa kubomoa na kurekebisha kwa kufidia pale ambapo kuna mahitaji kulingana na soko kwa wakati huo.
 
Inawezekana.
Kwanza tunaanza na kuelimisha wananchi kuanzia mtaani, kwamba lazima kila ujenzi Uwe na barabara yenye upana usiopungua mita 10 na eneo la miundombinu mingine hata kama eneo halijapimwa na serikali.
Upimaji Uwe ni huduma kwa wakazi na wamiliki badala ya fikra za mapato kwa serikali.
Pili kuhakikisha uendelezaji wowote wa ardhi kuanzia sasa unakuwa na mpangilio mzuri kupitia elimu hiyo.
Changamoto ni mamlaka husika kutokuwa na uwezo wa kufanya wajibu wake kulingana na mahitaji ya wakati husika.
Narudia tena kusema kwamba haitawezekana kamwe. Je, wewe binafsi umeshawahi kufika kwenye nchi nyingine yoyote ile iliyoendelea yenye Mipangomiji iliyo bora kabisa??Umeshawahi?
 
Kusema kweli kwa asilimia 98 nina amini bila shaka kuwa Jamii kubwa ya Watanzania wana mtindio wa ubongo, yaaani hawawezi kuwaza na kufikiri vizuri.

Jambo kuu linalonifanya kuamini hivi ni kwa namna ninapotembea mikoa mbalimbali nchini na kuona jinsi wananchi wanavyojenga bila mpangilio na wala Serikali haipo serious kusisitiza mipango miji.

Sehemu kubwa ya Tanzania naweza kusema asilimia 75- 80 imejengwa bila kuzingatia mipango miji na kupangwa. Ukitembea mikoa mingi ikiwa sehemu zinazojulikana kama majiji mfano Mbeya, Mwanza, Dar es Salaam na Arusha sehemu kubwa imejengwa bila kuzingatia mipango miji pamoja na kupagwa hivyo kupelekea miji yetu kutopendeza na kuwa kama majalala ya takataka.

Kwa Rais ajaye wa 2030, awe yeyote yule naomba hotuba yake ya kwanza azungumzie jambo hili kama moja ya vipaumbele vyake vikuu.

Aje na mpango kabambe wa kubomoa na kujenga upya Majiji yote ya nchi hii ambayo yamejengwa vibaya bila mpangilio.

Kwenye hili kwanza aanze kwa kujenga nyumba mpya kwa mtindo wa flats kwenye maeneo mapya yaliyopangwa vizuri na kuhamishia wananchi walio katika maeneo yaliyojengwa vibaya/ hovyo kwa kutozingatia mipango miji. Wananchi hawa watakapohamishiwa katika nyumba hizo wawekewe mpango wa kulipia ili kununua hizo nyumba kwa kipindi fulani ili kurudisha gharama za ujenzi tu. Akimaliza kulipa anamilikishwa. Hata kama akifariki familia yake itaendelea kulipa na ikimaliza itamilikishwa.

Pili, kwa kundi la wale wanaojiweza, yapangwe na kupimwa maeneo ambayo watapewa viwanja bure kwa kujiandikisha na kupewa utaratibu wa kujenga. Hawa wajenge kutokana na plan ya eneo husika na wakimaliza kujenga wataanza kulipia gharama za viwanja vyao pamoja na kodi.

Tatu, kupangwe na kupimwa maeneo kwa ajili ya makampuni kujenga na kuuza nyumba za makazi na biashara. Kwenye maeneo haya makampuni yapewe bure, yajenge nyumba kwa standards tofauti na kuanza kuziuza. Kuwe na exemption ya kodi katika kujenga na kuziuza hizi nyumba.

Nina uhakika haya yakifanyika, ndani ya miaka 10-15 nchi yetu yote itakuwa imepangwa na kujengwa vizuri sana hivyo kuondoa hii aibu ya kuonekana kama nchi nzima ni majinga, hatuwazi wala kufikiri vizuri.

Tuna uwezo wa kufanya hivi na tukaendelea na shughuli nyingine za maendeleo bila shida kabisa.

Kupanga ni kuchagua. Rais wetu wa 2030. Naweka huu uzi inshallah nikiwa hai 2030 nitaufufua.
Hivi ushawahi kujenga nyumba lkn? Unajua maumivu ya kubomolewa?
 
Kusema kweli kwa asilimia 98 nina amini bila shaka kuwa Jamii kubwa ya Watanzania wana mtindio wa ubongo, yaaani hawawezi kuwaza na kufikiri vizuri.

Jambo kuu linalonifanya kuamini hivi ni kwa namna ninapotembea mikoa mbalimbali nchini na kuona jinsi wananchi wanavyojenga bila mpangilio na wala Serikali haipo serious kusisitiza mipango miji.

Sehemu kubwa ya Tanzania naweza kusema asilimia 75- 80 imejengwa bila kuzingatia mipango miji na kupangwa. Ukitembea mikoa mingi ikiwa sehemu zinazojulikana kama majiji mfano Mbeya, Mwanza, Dar es Salaam na Arusha sehemu kubwa imejengwa bila kuzingatia mipango miji pamoja na kupagwa hivyo kupelekea miji yetu kutopendeza na kuwa kama majalala ya takataka.

Kwa Rais ajaye wa 2030, awe yeyote yule naomba hotuba yake ya kwanza azungumzie jambo hili kama moja ya vipaumbele vyake vikuu.

Aje na mpango kabambe wa kubomoa na kujenga upya Majiji yote ya nchi hii ambayo yamejengwa vibaya bila mpangilio.

Kwenye hili kwanza aanze kwa kujenga nyumba mpya kwa mtindo wa flats kwenye maeneo mapya yaliyopangwa vizuri na kuhamishia wananchi walio katika maeneo yaliyojengwa vibaya/ hovyo kwa kutozingatia mipango miji. Wananchi hawa watakapohamishiwa katika nyumba hizo wawekewe mpango wa kulipia ili kununua hizo nyumba kwa kipindi fulani ili kurudisha gharama za ujenzi tu. Akimaliza kulipa anamilikishwa. Hata kama akifariki familia yake itaendelea kulipa na ikimaliza itamilikishwa.

Pili, kwa kundi la wale wanaojiweza, yapangwe na kupimwa maeneo ambayo watapewa viwanja bure kwa kujiandikisha na kupewa utaratibu wa kujenga. Hawa wajenge kutokana na plan ya eneo husika na wakimaliza kujenga wataanza kulipia gharama za viwanja vyao pamoja na kodi.

Tatu, kupangwe na kupimwa maeneo kwa ajili ya makampuni kujenga na kuuza nyumba za makazi na biashara. Kwenye maeneo haya makampuni yapewe bure, yajenge nyumba kwa standards tofauti na kuanza kuziuza. Kuwe na exemption ya kodi katika kujenga na kuziuza hizi nyumba.

Nina uhakika haya yakifanyika, ndani ya miaka 10-15 nchi yetu yote itakuwa imepangwa na kujengwa vizuri sana hivyo kuondoa hii aibu ya kuonekana kama nchi nzima ni majinga, hatuwazi wala kufikiri vizuri.

Tuna uwezo wa kufanya hivi na tukaendelea na shughuli nyingine za maendeleo bila shida kabisa.

Kupanga ni kuchagua. Rais wetu wa 2030. Naweka huu uzi inshallah nikiwa hai 2030 nitaufufua.
Rais yupi huyo kama waliopita hawajajali hilo kinyume na kupiga jaramba ya siasa na kuteuana! Labda aliyeenda angeweza kwa kiasi fulani na akiwepo shipbuilding Lukuvi mnyalu.
 
Mipango miji sio ujinga ila hakiwezi kuwa kipaumbele nieleweke.
Yaaani miji imekaa kama majalala ya takataka unasema isiwe kipa umbele??? Leo hii kila sehemu mafuriko eti watu wanapoteza maisha kisa mafuriko kwenye makazi ya watu 2023,,,,,kungekuwa na mipango miji ujue hakuna mtu angejenga sehemu ambazo zinauwezekano wakupata mafuriko,,, tembeeni kidogo mkaone miji yawenzenu sio kujifungia kutwa mbagala ranging tatu mnaona dunia imeisha
 
Back
Top Bottom