Vijana wanaochipukia katika Siasa nchini wanapaswa kujifunza kutoka kwa Dr Spika Tulia, Ackson, LLD (Mbunge) na Rais wa Mabunge yote duniani (IPU).
Hakika sisi Wana Mbeya Mjini tunajisikia wenye bahati Sana kupata HESHIMA hii.
Tofaut na miaka mingi iliyopita, Mbeya Mjini tumepata Msomi na Kiongozi wa kweli anayepeperusha bendera ya Tanzania kimataifa.
NB: Siasa za makelele na kufokafoka Mbeya (M) ziliisha 2020.
Hakika sisi Wana Mbeya Mjini tunajisikia wenye bahati Sana kupata HESHIMA hii.
Tofaut na miaka mingi iliyopita, Mbeya Mjini tumepata Msomi na Kiongozi wa kweli anayepeperusha bendera ya Tanzania kimataifa.
NB: Siasa za makelele na kufokafoka Mbeya (M) ziliisha 2020.