Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 1,692
- 3,340
Pimbi wewe. Mwanaume kama hana akili anaongea pumba kwa nini asiwe mbumbumbu. Isitoshe mikia wote ni mbumbumbu.Pumbavu mtoto wa kuke kumuita mwanaume mbumbumbu,kacheze marede huko
Pimbi wewe. Mwanaume kama hana akili anaongea pumba kwa nini asiwe mbumbumbu. Isitoshe mikia wote ni mbumbumbu.Pumbavu mtoto wa kuke kumuita mwanaume mbumbumbu,kacheze marede huko
Kamemkanda jamaa yako!Pumbavu mtoto wa kuke kumuita mwanaume mbumbumbu,kacheze marede huko
Kwa hersi anaijua Ahly Ila shabiki hawaijui?😁Siku zote ukiongea public mpinzani wako msifie ili aendelee kuwa katika comfort zone madhaifu yake unaenda kumuonyesha uwanjani.
Yanga wanafahamu Ahly ni timu kubwa ila Wana udhaifu kama Timu, wanachokwenda kufanya ni kwenda ku expose udhaifu wa Ahly.
Majini' hayapandi ndege 😂😂Shida ipo wapi,wasifie,wavimbe kichwa,huku ukiwa na mipango yako/yenu baada ya malengo kutimia,unawakurupusha kutoka usingizini 🤓
Wewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?
Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.
Umewahi kusoma Fasihi mkuu
Hivi mlienda shule kusomea kitu gani?
Lugha aliyoongea Bwana Hersi inafundishwa darasa la sita na darasa la saba
Usipende kuchukulia kila jambo kama lilivyo inabidi uchanganye na akili zako binafsi
Kwa hiyo Ali Kamwe akisema watu waje uwanjani bila kuvaa nguo yaani uchi wa mnyama wewe utaenda bila kuvaa nguo?
Hiyo ni fasihi mkuu,Rudi tena shule ya msingi
Hakana adabuKamemkanda jamaa yako!
Ndio maana kaliachwa.Kanamtukana mpaka baba yake anayeishi Arusha.Hakana adabu
Mimi nimekakubali kalivyomsiliba huyo ndugu yenu, maana alitaka kuleta upopoma fulani! Kaliachwa au kenyewe ndiko kalimwacha jamaa kwa vile alikuwa hajitambui?Ndio maana kaliachwa.Kanamtukana mpaka baba yake anayeishi Arusha.
Pale utopoloni ni mtu 2 tu wenye akili.kaongezeka na injinia,na gamond na msigwa.wengine endeleeni kutumia doziWewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?
Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.
Na kule makolo yote ni mambumbumbu by Aden Ismail Rage!Pale utopoloni ni mtu 2 tu wenye akili.kaongezeka na injinia,na gamond na msigwa.wengine endeleeni kutumia dozi
Alijisemea Ally Kamwe, MJINGA MPE CHEO..!!Wewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?
Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.
Jiropokeshe tu huku umemeza 5..!! Na mtaweweseka sana na 5 zile..!!Pale utopoloni ni mtu 2 tu wenye akili.kaongezeka na injinia,na gamond na msigwa.wengine endeleeni kutumia dozi
Uto, mna hasira sana.Unakumbuka tambo za Ahmed Ally mapinduzi? Wengi walimwangushia jumba bovu kwamba yeye ndio kawaponza wakafungwa na Mlandege.
Maneno na tambo kabla ya mechi ni kuvichagua kwa umakini sana, unaweza kupigwa ukadhalilika.
mbona wewe ulipigwa na ihefu,,mkuu mpira wa miguu una maajabu na hautabiriki thus why mikeka inachanika kajiongeze upyaTulia wewe kolo, Ahly na uwezo wao walifungwa na bingwa wa shirikisho ambaye sisi tulimtoa jasho Usm Alger.
Halafu hii ni mechi ya waliokwisha kufuzu, hamishieni nguvu zenu kwenye kutafuta nafasi ya robo fainali tafadhali.
chura mkubwa keshasema.wwe chura mdogo nani upinge?Jiropokeshe tu huku umemeza 5..!! Na mtaweweseka sana na 5 zile..!!