Rais wa Gabon Bw. Omar Bongo ameachia ngazi ya urais kwa muda kwa sababu ya matatizo ya kiafya.
Rais huyu kutoka Afrika ya Magharibi amekuwa madarakani tangu mwaka 1967 amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa ambao hadi sasa haujawekwa hadharani.
Wananchi pamoja na viongozi wa upinzani nchini humo wamekuwa na wasiwasi wa hali hii ambayo wanahisi itasababisha utupu katika utawala. Viongozi wa upinzani nchini humo wanahofia kuwa Mtoto wa kiume wa Rais huyo aitwaye Ali Ben Bongo yuko tayari kubeba majukumu ya baba yake. Kwa sasa mwana huyo wa Rais Bongo ndiye waziri wa ulinzi nchini humo.
Hadi sasa serilaki ya Gabon haijaweza kueleza Rais wao anasumbuliwa na ugonjwa gani na wala hawajawa tayari kutaja ni nchi gani anakotibiwa na tangu lini yuko hospitalini.
Rais huyu kutoka Afrika ya Magharibi amekuwa madarakani tangu mwaka 1967 amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa ambao hadi sasa haujawekwa hadharani.
Wananchi pamoja na viongozi wa upinzani nchini humo wamekuwa na wasiwasi wa hali hii ambayo wanahisi itasababisha utupu katika utawala. Viongozi wa upinzani nchini humo wanahofia kuwa Mtoto wa kiume wa Rais huyo aitwaye Ali Ben Bongo yuko tayari kubeba majukumu ya baba yake. Kwa sasa mwana huyo wa Rais Bongo ndiye waziri wa ulinzi nchini humo.
Hadi sasa serilaki ya Gabon haijaweza kueleza Rais wao anasumbuliwa na ugonjwa gani na wala hawajawa tayari kutaja ni nchi gani anakotibiwa na tangu lini yuko hospitalini.