Ni mapema alfajiri nimeamka na kuanza kuyatafakari haya maisha tunayoishi. Najiuliza hadi lini serikali itajua ni wajibu wake kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma zote muhimu kwa viwango vinavyostahili?
Serikali naona inachelewa sana kuwaletea wananchi maendeleo.
Leo hii watu maji majumbani hakuna,
Leo hii umeme siyo wa uhakika,
Leo hii miundombinu ya barabara mibovu,
Leo hii miji uchafu umetapakaa kila kona,
Leo hii shule zina uhaba wa madarasa, vitabu, walimu wenye ujuzi nk.
Tunakuomba Rais utusaidie nchi ikae sawa.
Tunakuombea afya njema wewe na familia yako ili na wewe uhakikishe na sisi tunaishi maisha mazuri.
Serikali naona inachelewa sana kuwaletea wananchi maendeleo.
Leo hii watu maji majumbani hakuna,
Leo hii umeme siyo wa uhakika,
Leo hii miundombinu ya barabara mibovu,
Leo hii miji uchafu umetapakaa kila kona,
Leo hii shule zina uhaba wa madarasa, vitabu, walimu wenye ujuzi nk.
Tunakuomba Rais utusaidie nchi ikae sawa.
Tunakuombea afya njema wewe na familia yako ili na wewe uhakikishe na sisi tunaishi maisha mazuri.