sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,016
- 8,375
Rais WA Tanzania kutokea Kizimkazi usiku huu yupo Kenya.
Je ameenda kimya kimya Kwani nini?
======
Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Kenya kuhudhuria mkutano unaondelea kuhusu hali ya hewa barani Afrika. Pia wamewasili Rais wa Sudan kusini, Salva Kiir, Rais wa Senegal, Macky Sall na Ethiopia, Sahle-Work Zewde
===
Kujua safari nyingine za Rais Samia soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021
Je ameenda kimya kimya Kwani nini?
======
Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Kenya kuhudhuria mkutano unaondelea kuhusu hali ya hewa barani Afrika. Pia wamewasili Rais wa Sudan kusini, Salva Kiir, Rais wa Senegal, Macky Sall na Ethiopia, Sahle-Work Zewde
===
Kujua safari nyingine za Rais Samia soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021