Rais Samia, nani anayekudanya namna hii kuhusu tatizo la kukatika kwa umeme nchini?

mwananyaso

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
2,843
3,128
Nikwambie Rais Samia ya kwamba January Makamba na management nzima ya Tanesco ndio imesababisha hii adha ya umeme tuliyonayo sasa, kwanini unaona aibu kusema hadharani failure ya waziri na management nzima?

Kama ni suala la kukarabati miundo mbinu,Kulikuwa na haja gani ya kumuondoa mwenyekiti wa bodi na mkurugenzi mkuu?,si wamefanya vizuri, kwanini uwaindoe?,si wamalizie mission?

Waziri aliyekuwepo ndugu January Makamba alisingizia kila aina ya visingizio, mpaka ikafika mwisho wa uongo, kwakua ni mtoto pendwa umemnusuru

Ndugu Rais Samia werevu tunaelewa,shirika lingefia mikononi mwa hao. Wateule wako,umewahi kuwanusuru na aibu,japo wameipata
 
Tuache kuishi kwa matukia leo mada zote ni umeme utazan ili ttzo limeanza leo au ktk awamu ya6
Yan kwa mada km izi zinaonyesha ni kias gan wabongo tulivyo wajinga
 
🐒🐒🐒
902309242102.jpg
 
Tuache kuishi kwa matukia leo mada zote ni umeme utazan ili ttzo limeanza leo au ktk awamu ya6
Yan kwa mada km izi zinaonyesha ni kias gan wabongo tulivyo wajinga
Mjinga ni huyu mama anaongea uongo na ndio mana kazua mjadala laiti kama asingeongea akawaapisha tu na kufunika kombe mwanaharamu apite usingesikia lolote lakini suala la kusema service sijui maintanance leo acha liibue mjadala ni aibu

Ukome kujumuisha watanzania wote wakati mjinga unamjua...chawa we
 
Mjinga ni huyu mama anaongea uongo na ndio mana kazua mjadala laiti kama asingeongea akawaapisha tu na kufunika kombe mwanaharamu apite usingesikia lolote lakini suala la kusema service sijui maintanance leo acha liibue mjadala ni aibu

Ukome kujumuisha watanzania wote wakati mjinga unamjua...chawa we
Naungana na wewe,ni bora angeapisha kimyakimya tu,
Na kabla ya kuhutubia alitaka kujua yuko live au hapana,hapo ujue kuna ukweli kaficha, Nishati pamevurugwa haswa
 
Pamevurugwa sana na kaonekana kawapendelea waliovurunda....sijapenda uongo wa service ya mitambo na kumpa muda wa miezi 6 Mkurugenzi mpya wakati wavurundaji wamembwela hapo miaka miwili bila kuona matokeo chanya
Naungana na wewe,ni bora angeapisha kimyakimya tu,
Na kabla ya kuhutubia alitaka kujua yuko live au hapana,hapo ujue kuna ukweli kaficha, Nishati pamevurugwa haswa
 
Tuache kuishi kwa matukia leo mada zote ni umeme utazan ili ttzo limeanza leo au ktk awamu ya6
Yan kwa mada km izi zinaonyesha ni kias gan wabongo tulivyo wajinga
Kwa hiyo unataka watu wakae kimya kwa sababu tatizo la Umeme ni miaka yote?
 
Huyu mwanamke asilpoacha uongo huku akiwa muislamu, Mungu atamfedhehesha. Leo nchi nzima umeme hakuna anasema uongo mitambo mibovu, kwa nini amewaondoa waliokuwepo kama walifanya kwa ajili ya matengenezo? Uongo haudumu
Bila mapinduzi tutalalama sana
 
Nikwambie Rais Samia ya kwamba January Makamba na management nzima ya Tanesco ndio imesababisha hii adha ya umeme tuliyonayo sasa, kwanini unaona aibu kusema hadharani failure ya waziri na management nzima?

Kama ni suala la kukarabati miundo mbinu,Kulikuwa na haja gani ya kumuondoa mwenyekiti wa bodi na mkurugenzi mkuu?,si wamefanya vizuri, kwanini uwaindoe?,si wamalizie mission?

Waziri aliyekuwepo ndugu January Makamba alisingizia kila aina ya visingizio, mpaka ikafika mwisho wa uongo, kwakua ni mtoto pendwa umemnusuru

Ndugu Rais Samia werevu tunaelewa,shirika lingefia mikononi mwa hao. Wateule wako,umewahi kuwanusuru na aibu,japo wameipata
Rais mvivu atakosaje kudanganywa mzee.
 
Sasa mbona wewe unachangia? Kwahiyo basi wewe ni mpumbavu
Tuache kuishi kwa matukia leo mada zote ni umeme utazan ili ttzo limeanza leo au ktk awamu ya6
Yan kwa mada km izi zinaonyesha ni kias gan wabongo tulivyo wajinga
 
Back
Top Bottom