masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Nimekatishwa tamaa, nimefadhaishwa!
Mbunge wetu kijana, Freddy Mwakibete, mbunge wa Busokelo, Rungwe ameachwa kwenye mabadiliko ya mawaziri ya juzi.
Sisi wakazi wa Rungwe tumesononeshwa, maana huyu kijana alikuwa kiungo muhimu cha matatizo ya wana Rungwe.
Tulianza kuona mwanga kuwa miradi muhimu ya miundombinu iliyoahidiwa toka Awamu ya Pili, kuwa sasa itakamilika.
Hii barabara ya Busokelo hadi Katumba inatutesa toka enzi ya ukoloni.
Rais Samia hebu tuonee huruma huyu kijana alikuwa muwakilishi na mtetezi wetu mzuri.
Mbunge wetu kijana, Freddy Mwakibete, mbunge wa Busokelo, Rungwe ameachwa kwenye mabadiliko ya mawaziri ya juzi.
Sisi wakazi wa Rungwe tumesononeshwa, maana huyu kijana alikuwa kiungo muhimu cha matatizo ya wana Rungwe.
Tulianza kuona mwanga kuwa miradi muhimu ya miundombinu iliyoahidiwa toka Awamu ya Pili, kuwa sasa itakamilika.
Hii barabara ya Busokelo hadi Katumba inatutesa toka enzi ya ukoloni.
Rais Samia hebu tuonee huruma huyu kijana alikuwa muwakilishi na mtetezi wetu mzuri.